Fundi kitasa
JF-Expert Member
- Mar 17, 2021
- 2,419
- 6,484
Tosha aisee usimalize mchuzi , iyo terminal ya mwanza mda sio mrefu inazinduliwa tunakua eapoti nne zenye hadhi ya kimataifaaUsisahau kuna jengo la abiria la Mwanza Airport pia na Tanga kuna plan ya airport pia ready for EACOP!
Mradi wako subawanga bado upo? Walaji wa kiti-mtu wateninde haki.Usisahau kuna jengo la abiria la Mwanza Airport pia na Tanga kuna plan ya airport pia ready for EACOP!
It's Sumbawanga!! u Kikuyu fool u can't pronounce "mba"!Mradi wako subawanga bado upo? Walaji wa kiti-mtu wateninde haki.
Unasemezana na zezeta kwannIt's Sumbawanga!! u Kikuyu fool u can't pronounce "mba"!
samahani kaka! 🙏Unasemezana na zezeta kwann
Wi tasa, kanyuwe supu ya kiti-mtu utasa ikutoke.Unasemezana na zezeta kwann
Waambie wakuonyeshe fc leopards au sijui gormahia wakipanda ndege kutokea lodwar au garissa au wajir wakielekea nairobi😂😂😂
Starting from upcoming Msalato International Airport
kwani sie tuna njaa kama nyie mpaka uongelee sima? Tanzania sima ni ya kumwaga!Too much effort looking for conflicts. How will this add the size of sima on your table tonight?
Si basi uweke uzi wa exchange rates between our currencies kama wewe mwanamume kamili?kwani sie tuna njaa kama nyie mpaka uongelee sima? Tanzania sima ni ya kumwaga!
Madam President kasema ujenzi unaanza!
sina muda wa kukujibu wivu peleka upumbavuni!Si basi uweke uzi wa exchange rates between our currencies kama wewe mwanamume kamili?