Airports: Kenya vs Tanzania

Airports: Kenya vs Tanzania

Usisahau kuna jengo la abiria la Mwanza Airport pia na Tanga kuna plan ya airport pia ready for EACOP!
Tosha aisee usimalize mchuzi , iyo terminal ya mwanza mda sio mrefu inazinduliwa tunakua eapoti nne zenye hadhi ya kimataifaa
 
Tanzania radas and their covered airspace
2746334_1618849505958.png
 
Too much effort looking for conflicts. How will this add the size of sima on your table tonight?
kwani sie tuna njaa kama nyie mpaka uongelee sima? Tanzania sima ni ya kumwaga!

Madam President kasema ujenzi unaanza!
 
kwani sie tuna njaa kama nyie mpaka uongelee sima? Tanzania sima ni ya kumwaga!

Madam President kasema ujenzi unaanza!

Si basi uweke uzi wa exchange rates between our currencies kama wewe mwanamume kamili?
 
Back
Top Bottom