Missile of the Nation
JF-Expert Member
- May 24, 2018
- 15,101
- 56,054
Wamepokea agizo la serikali kishingo upande, Sasa hivi wanakwangua vifurushi vya watu kimagumashiAisee ni kweli kabiasa airtel ni wezi sana
Mkuu ni kweli mimi mara nyingi wanakula MB zangu kabla ya muda wa matumizi kuisha.Baada ya agizo ka kurudisha bei za vifurushi vya zamani, umetokea mchezo wa kijinga wa baadhi ya makampuni ya Simu.
Sasa hivi wanachokifanya, kwenye menu ya kuchagua vifurushi kweli wanaweka bei za Zamani, Lakini ikija kwenye Matumizi ya data, data inakwenda kasi kinyama.
Tunaitaka mitandao, iache mara moja michezo hii ya kijinga, wasifikiri sisi wananchi hatuoni
Nausema specifically mtandao wa Airtel kwa sababu natumia vifurushi vyake.
Huu mtandao kabla ya Sakata la kubadili bei za vifurushi, ulikuwa mtandao fair lakini naona siku hizi nao kama unafanya michezo ya ajabu ajabu
Tunataka TCRA, Waziri wa Mawasiliano na Mkurugenzi wa Airtel walifanyie kazi suala hili,Kuna kitu hakijakaa sawa!
Naunga hoja mkono airtel wezi nilijua ni mimi tuu kimbe tupo wengiAisee ni kweli kabiasa airtel ni wezi sana
Baada ya agizo ka kurudisha bei za vifurushi vya zamani, umetokea mchezo wa kijinga wa baadhi ya makampuni ya Simu.
Sasa hivi wanachokifanya, kwenye menu ya kuchagua vifurushi kweli wanaweka bei za Zamani, Lakini ikija kwenye Matumizi ya data, data inakwenda kasi kinyama.
Tunaitaka mitandao, iache mara moja michezo hii ya kijinga, wasifikiri sisi wananchi hatuoni
Nausema specifically mtandao wa Airtel kwa sababu natumia vifurushi vyake.
Huu mtandao kabla ya Sakata la kubadili bei za vifurushi, ulikuwa mtandao fair lakini naona siku hizi nao kama unafanya michezo ya ajabu ajabu
Tunataka TCRA, Waziri wa Mawasiliano na Mkurugenzi wa Airtel walifanyie kazi suala hili,Kuna kitu hakijakaa sawa!
weka bundle alafu download this app My Data Manager - Data Usage - Apps on Google Play
lakini pia its very hard for airtel au mtandao wowote wa simu , kukuibia data because they dont control it after umenunua!
Kumbe hata ujanja wa kujua unacholipia ndicho upewacho huna?! Are you that low!Baada ya agizo ka kurudisha bei za vifurushi vya zamani, umetokea mchezo wa kijinga wa baadhi ya makampuni ya Simu.
Sasa hivi wanachokifanya, kwenye menu ya kuchagua vifurushi kweli wanaweka bei za Zamani, Lakini ikija kwenye Matumizi ya data, data inakwenda kasi kinyama.
Tunaitaka mitandao, iache mara moja michezo hii ya kijinga, wasifikiri sisi wananchi hatuoni
Nausema specifically mtandao wa Airtel kwa sababu natumia vifurushi vyake.
Huu mtandao kabla ya Sakata la kubadili bei za vifurushi, ulikuwa mtandao fair lakini naona siku hizi nao kama unafanya michezo ya ajabu ajabu
Tunataka TCRA, Waziri wa Mawasiliano na Mkurugenzi wa Airtel walifanyie kazi suala hili,Kuna kitu hakijakaa sawa!
Njia zipo nyingi tu. Siku zote nimem-overrate huyu anayejiita missile of the nation nikifikiri ni mwelewa kumbe naye ni product ya vyuo vyetu vya kata.ukitaka kujua kama data zako znaibiwa fanya hivi
start using your data ukishamaliza kwenye simu, now you can view kwenye app pia
Vodacom wamerudisha vifurushi vya awali.Vodacom maelekezo ya serikali hayawahusu
Mbona mimi sioni???Vodacom wamerudisha vifurushi vya awali.
Azima miwani kwa jirani yakoMbona mimi sioni???
Sawa mkuuAzima miwani kwa jirani yako
Naongea ninachokijua kiongozi, sikurupuki!Njia zipo nyingi tu. Siku zote nimem-overrate huyu anayejiita missile of the nation nikifikiri ni mwelewa kumbe naye ni product ya vyuo vyetu vya kata.
Airtel hata bei za vifurushi hawajabadilika kivilee. Kuna ujanja ujanja wa kubadili lugha ya majina ya vifurushi tuuu.Baada ya agizo ka kurudisha bei za vifurushi vya zamani, umetokea mchezo wa kijinga wa baadhi ya makampuni ya Simu.
Sasa hivi wanachokifanya, kwenye menu ya kuchagua vifurushi kweli wanaweka bei za Zamani, Lakini ikija kwenye Matumizi ya data, data inakwenda kasi kinyama.
Tunaitaka mitandao, iache mara moja michezo hii ya kijinga, wasifikiri sisi wananchi hatuoni
Nausema specifically mtandao wa Airtel kwa sababu natumia vifurushi vyake.
Huu mtandao kabla ya Sakata la kubadili bei za vifurushi, ulikuwa mtandao fair lakini naona siku hizi nao kama unafanya michezo ya ajabu ajabu
Tunataka TCRA, Waziri wa Mawasiliano na Mkurugenzi wa Airtel walifanyie kazi suala hili,Kuna kitu hakijakaa sawa!
Wadanganye wale tu wasiotumia Mkuu.Mtandao kwa ajili ya internet bongo hii ni halotel tu