Airtel acheni michezomichezo katika Vifurushi, Wananchi tunaona!

Airtel acheni michezomichezo katika Vifurushi, Wananchi tunaona!

Njia zipo nyingi tu. Siku zote nimem-overrate huyu anayejiita missile of the nation nikifikiri ni mwelewa kumbe naye ni product ya vyuo vyetu vya kata.

wanavokomaliaga mada unaweza dhan wanaongea point, 😂
 
Naongea ninachokijua kiongozi, sikurupuki!

Si vibaya mtu kama wewe kuwa na Imani na makampuni kuwa wanakupa kilekile na kwamba wako fair kwenye kukuacha utumie data zako bila kukufanyia uhuni, but unfortunately this is not the case!, who feels it knows it well!

Nilikuwa nimebakiwa na 500MB, na within few minutes wananiambia 0MB wakati sidownload kitu chochote hata kwenye background hakuna updates zozote zinazorun, how dare they?, Na hii kitu imekuwa ikitokea frequently nowadays, haikuwa hivyo kwa Airtel kabla ya sakata la bei za vifurushi

Haiwezrkani let say Zamani ulikuwa unaweka GB 1 inakutosha Siku moja na nusu halafu leo hii unaweka GB 1 inakaa nusu siku tu na huku huna Matumizi ya Ziada kuliko zamani!

Kuregulate access ya bandwidth wala siyo kitu ambacho makampuni ya simu yanashindwa, yanaweza kwa mfano kupitia kwenye system kuset mtu atumie 75% ya given bandwidth then baada ya hapo data yake kwenye system ijiset to 0. Sasa ukiwa layman wewe unanunua data tu, wala hufuatilii, wewe unaweka tu mavifurushi bila kuangalia salio kumbe unapigwa 25% ya data yako.

pathetic, kwan anaecontrol data ni nani tanzania?
 
Baada ya agizo ka kurudisha bei za vifurushi vya zamani, umetokea mchezo wa kijinga wa baadhi ya makampuni ya Simu.

Sasa hivi wanachokifanya, kwenye menu ya kuchagua vifurushi kweli wanaweka bei za Zamani, Lakini ikija kwenye Matumizi ya data, data inakwenda kasi kinyama.

Tunaitaka mitandao, iache mara moja michezo hii ya kijinga, wasifikiri sisi wananchi hatuoni

Nausema specifically mtandao wa Airtel kwa sababu natumia vifurushi vyake.

Huu mtandao kabla ya Sakata la kubadili bei za vifurushi, ulikuwa mtandao fair lakini naona siku hizi nao kama unafanya michezo ya ajabu ajabu

Tunataka TCRA, Waziri wa Mawasiliano na Mkurugenzi wa Airtel walifanyie kazi suala hili,Kuna kitu hakijakaa sawa!
Bei ya vifurushi imepanda tena kimyakimya awali ilikuwa 3000 kwa 2.2GB, ikaja 1.7GB leo inasoma 👇

Dial*149*99# select 2 SMS, get 9000 SMS for a month.You have received 1.6GB,to be used till 27-07-2022 09:17:41.
 
Back
Top Bottom