Airtel mnachokifanya kwenye router zenu ni changamoto kubwa sana kwa wateja wenu. Mtandao upo chini sana

Airtel mnachokifanya kwenye router zenu ni changamoto kubwa sana kwa wateja wenu. Mtandao upo chini sana

Younguther

JF-Expert Member
Joined
Mar 8, 2019
Posts
243
Reaction score
483
Habari za wakati huu wanajukwaa.

Bila kupoteza muda wiki iliyopita nilijiunga kifurushi cha mbps 10 unlimited kwenye router ya airtel smartbox 5g kwa tsh 70k, Mwanzo speed ilikuwa really 10mb per second lakn leo ghafla asubuhi imeshuka had 1mb per second na haitaki kupanda.

Yaani natumia speed ya kobe na mtumiaji ni mimi pekee yangu nimeunganisha device mbili pc na simu tu, kwanini airtel hawataki kutuambia ukweli kwamba hizi router siyo unlimited badala yake ikifkia ukomo wa mb walizokupangia huwa wanashusha speed kusema ukweli huu ni utapeli😔

Screenshot_20241224-234724_Chrome.jpg
 

Attachments

  • Screenshot_20241224-234623_Chrome.jpg
    Screenshot_20241224-234623_Chrome.jpg
    97.5 KB · Views: 12
Yaan hata wiki mbili sijafikisha washanipunguzia speed
Ukiwa ni heavy user hivi vikasha vyao wala sio vya kuviletea shobo utaumia na kuishia kutukana matusi mazito ambayo hayatokuwa na msaada.

Plan ya 110K ndio ina limit ya 1TB kama utaweza upgrade.
 
Mimi hata hizo mb500 bado sijafikisha ila washanifanyia uhuni
Kikawaida mimi huwa na record kabisa data usage siku ya kwanza napolipia.

Hiyo ni kwasababu kila inapofika tarehe 1 data usage huwa inaji reset na kuwa 0.

So from there ukitumia hata GB200 itaandika hiyo hiyo 200GB ila itazihesabia na zile GB ulizotumia kipindi kabla ya kufika tarehe 1

Kwa hiyo kama kifurushi uliunga tarehe 30 halafu ndani ya siku mbili ukazikata GB100 maana yake tarehe 1 itapofika dashboard itasoma 0 usage ila ukifikisha tu 400GB automatically itapungua speed kwasababu ya total usage ya kifurushi chako kuanzia zile usage ambazo zilikuwa resetted.
 
Ukiwa ni heavy user hivi vikasha vyao wala sio vya kuviletea shobo utaumia na kuishia kutukana matusi mazito ambayo hayatokuwa na msaada.

Plan ya 110K ndio ina limit ya 1TB kama utaweza upgrade.
Bora kuvuta fiber, ila nasikia hyo huduma ina changamoto nyingi hadi uje kuungwanishwa utakuwa umestruggle vya kutosha
 
Mimi hata hizo mb500 bado sijafikisha ila washanifanyia uhuni
Mfano saizi hapo usage inasoma 400GB

halafu ukataka ku upgrade plan ya 110K.

Maana yake usage itaendelea kusoma hiyo 400GB na kuendelea na utafika 1TB ila kifurushi kitakuwa na speed ile ile ya 30Mbps.

Halafu sasa ikafika tarehe 30 ukiwa umetumia jumla ya 900GB then tarehe 1 januari hizo GB zote zitaanza upya yani zitaanzia 0 ila siku ukifika tu 500GB speed itapungua.

Kwasababu utakuwa umetumia 500 GB za kuanzia tarehe 1 na zile GB 500 za mwanzo ambazo zilichanganyikana na 400GB kutoka kwenye kifurushi chako cha 70K
 
Sema tu Vodacom ni mtandao wa madosi, ila hakika Vodacom hana mpinzani kabisa TZ kwenye ishu ya kasi ya mitandao.

Ubinadamu ni kazi/The humanity is work.
 
Bora kuvuta fiber, ila nasikia hyo huduma ina changamoto nyingi hadi uje kuungwanishwa utakuwa umestruggle vya kutosha
Case kama hizi kwenye fiber sijazisikia.

Ila kama fiber labda hizi Zuku lakini haya makampuni ya simu yana usumbufu mwingi.
 
Mfano saizi hapo usage inasoma 400GB

halafu ukataka ku upgrade plan ya 110K.

Maana yake usage itaendelea kusoma hiyo 400GB na kuendelea na utafika 1TB ila kifurushi kitakuwa na speed ile ile ya 30Mbps.

Halafu sasa ikafika tarehe 30 ukiwa umetumia jumla ya 900GB then tarehe 1 januari hizo GB zote zitaanza upya yani zitaanzia 0 ila siku ukifika tu 500GB speed itapungua.

Kwasababu utakuwa umetumia 500 GB za kuanzia tarehe 1 na zile GB 500 za mwanzo ambazo zilichanganyikana na 400GB kutoka kwenye kifurushi chako cha 70K
Ngoja nitafute mteja nkiuze tu, siwezi kukaa na unlimited uchwara bora nijichange nivute faiber
 
Mkuu, unapokaa pana issue ya speed sio Airtel aisee.

IMG_1060.png


Mimi Airtel imekua mkombozi sana aisee. Mwezi wa 4 tokea ninunue na sijawahi kujuta.

IMG_1062.png

Kwa sasa nimeunga device 3, TV simu na Laptoona zote zinapiga mzigo.
IMG_1061.jpeg

Youtube nipo FHD na 4K mara chache ndio inaganda ganda.
IMG_1060.png

Nimejiunga cha 70k so 10mbps
 
Wana andika unlimited, sasa unlimited gani yenye makadirio na ukomo wa matumiz🚮
Niliwahi kuwawashia moto kwenye page yao walipokuwa wanafanya promosheni ya hizo Router

Nikaandika mkeka wangu kuwapa attention watu ambao wanafikiria kuchukua, nikasema hapo ni sawa na unauziwa GB kwasababu speed wanayopunguza hadi kutuma email ni mtihani.

Wakafuta comments zangu zote.
 
Acha kulalamika mitandao ya simu sahiz no kama ndoa za mitala
 
Back
Top Bottom