Younguther
JF-Expert Member
- Mar 8, 2019
- 243
- 483
- Thread starter
- #21
Vipi fiber ya zuku huwa wanatoa access ya admin interaction au nao ndo kama ttcl mpka uwapigie wakubadilishie baadhi ya mipangilio na reset?Case kama hizi kwenye fiber sijazisikia.
Ila kama fiber labda hizi Zuku lakini haya makampuni ya simu yana usumbufu mwingi.