toriyama
JF-Expert Member
- Feb 18, 2014
- 1,139
- 2,223
Na kingine kinachoboa kwa voda ni ile ya kusema sijui unalipia miezi mitatu kwanza.
Halafu uki skip mwezi bila kulipia basi siku utayoamua kulipia hela yako itaenda kufidia ule mwezi ambao hukulipia.
Hizo ndio mbanga ambazo sizielewi.
Nilijua voda ni miezi 12, kumbe miezi 3 au wamepunguza? Vipi kuhusu Tigo?