Airtel mnachokifanya kwenye router zenu ni changamoto kubwa sana kwa wateja wenu. Mtandao upo chini sana

Airtel mnachokifanya kwenye router zenu ni changamoto kubwa sana kwa wateja wenu. Mtandao upo chini sana

Na kingine kinachoboa kwa voda ni ile ya kusema sijui unalipia miezi mitatu kwanza.

Halafu uki skip mwezi bila kulipia basi siku utayoamua kulipia hela yako itaenda kufidia ule mwezi ambao hukulipia.

Hizo ndio mbanga ambazo sizielewi.

Nilijua voda ni miezi 12, kumbe miezi 3 au wamepunguza? Vipi kuhusu Tigo?
 
Ndio inakaa vizuri.. unaenda kwenye restore factory setting kwa watumiaji wa Airtel sijajua kampuni zingine

View attachment 3184375
Ishu yake huyo sio corruption settings. Huyo kakutana na throttling kutoka kwa isp.

Hiyo hainaga suluhu ni mpaka u-upgrade plan au usikilizie kiishe uje kuunga kingine.
 
Mkuu, unapokaa pana issue ya speed sio Airtel aisee.

View attachment 3184334

Mimi Airtel imekua mkombozi sana aisee. Mwezi wa 4 tokea ninunue na sijawahi kujuta.

View attachment 3184335
Kwa sasa nimeunga device 3, TV simu na Laptoona zote zinapiga mzigo.
View attachment 3184336
Youtube nipo FHD na 4K mara chache ndio inaganda ganda.
View attachment 3184337
Nimejiunga cha 70k so 10mbps
Aisee mbona Airtel anajikongoja sana😏
1000017747.jpg

1000017748.jpg
 
Huo ndio umazafaka ambao siutaki kuusikia.

Maswala ya kuniuzia godoro halafu unaninyima usingizi huo ni wizi.
Kuomba tu huduma ya starlink iweze kufika kwa wakati tuwakimbie hawa wezi wa hela zetu
 
Hakuna utapeli, Kwenye unlimited internet kuna kipengere kInaitwa Fair Usage Policy, ukivuka kiasi flani cha matumizi speed inashushwa, Sio Tanzania pekee ni mpaka kampuni kubwa duniani kama Starlink.

Kibiashara inatumika kubana wapiga dili wanaouzia watu wengine
 
Hakuna utapeli, Kwenye unlimited internet kuna kipengere kInaitwa Fair Usage Policy, ukivuka kiasi flani cha matumizi speed inashushwa, Sio Tanzania pekee ni mpaka kampuni kubwa duniani kama Starlink.

Kibiashara inatumika kubana wapiga dili wanaouzia watu wengine
Wengi wetu hatujastukia hilo.

Star link pia ana shusha speed baada ya kufikia matumizi fulani, nimesahau kidogo ila makadirio 2.4TB ndani ya mwezi.

Pia tusisahau star link ni ghali mno kufananisha na makampuni tuliyozoea Tanzania.

Satellite internet ni mahsusi kwa aliyeko nnje ya mji.
 
Wengi wetu hatujastukia hilo.

Star link pia ana shusha speed baada ya kufikia matumizi fulani, nimesahau kidogo ila makadirio 2.4TB ndani ya mwezi.

Pia tusisahau star link ni ghali mno kufananisha na makampuni tuliyozoea Tanzania.

Satellite internet ni mahsusi kwa aliyeko nnje ya mji.
Mbona wenye router za voda hawalalamikii hili suala la fair usage policy, kwao ni unlimited really kabisa
 
Sababu wenye mamlaka ni wanufaika wa hizo kero. Hapa mkombozi ni bwana Elon Musk tu!

Safaricom mpaka kesho wanalaani ujio wa StarLink Africa.
Ni bora starlink ije tu ili huu wizi utokomee kwa kiasi chake
 
Airtel are scammers Mimi na line haifanyi kazi now kama router kabisa
 
Halafu ukiwapigia simu wanasema tusharesolve suala lako, lakini kumbe ni hovyo tu
My number can't even buy a HBB bundle now
.they spammed me first nmelipa Hafu device ikawa haionekani

Airtel nlichoamua ni kukaa kimya nafikiria way forward hii nchi ukiwa na hela usipokua na hela lazima utateseka

Hii nchi ina laana
 
Habari za wakati huu wanajukwaa.

Bila kupoteza muda wiki iliyopita nilijiunga kifurushi cha mbps 10 unlimited kwenye router ya airtel smartbox 5g kwa tsh 70k, Mwanzo speed ilikuwa really 10mb per second lakn leo ghafla asubuhi imeshuka had 1mb per second na haitaki kupanda.

Yaani natumia speed ya kobe na mtumiaji ni mimi pekee yangu nimeunganisha device mbili pc na simu tu, kwanini airtel hawataki kutuambia ukweli kwamba hizi router siyo unlimited badala yake ikifkia ukomo wa mb walizokupangia huwa wanashusha speed kusema ukweli huu ni utapeli😔

View attachment 3184329
Nikweli,hamia kwenye mtandao wenye kasi, biashara ni ushindani
 
Back
Top Bottom