Na kingine kinachoboa kwa voda ni ile ya kusema sijui unalipia miezi mitatu kwanza.
Halafu uki skip mwezi bila kulipia basi siku utayoamua kulipia hela yako itaenda kufidia ule mwezi ambao hukulipia.
Hizo ndio mbanga ambazo sizielewi.
Montly usage data plan ushawahi kuifikisha gb500Mimi niliinunua 3 months ago,inafanya vizuri tu.
TV,smartphones 4!
Tigo nadhani wanafosi ununue deviceNilijua voda ni miezi 12, kumbe miezi 3 au wamepunguza? Vipi kuhusu Tigo?
Ishu yake huyo sio corruption settings. Huyo kakutana na throttling kutoka kwa isp.Ndio inakaa vizuri.. unaenda kwenye restore factory setting kwa watumiaji wa Airtel sijajua kampuni zingine
View attachment 3184375
Nasikia ni 600k huko, haladu ni post paidTigo nadhani wanafosi ununue device
Na bei yake imechangamka, unapata kiwanja Chanika.
Ni matapeli kweli, kwanini wasiseme ukweli tuHahaha hawa ni matapel mtandao wa hovyo sana huu
Huo ndio umazafaka ambao siutaki kuusikia.Nasikia ni 600k huko, haladu ni post paid
Aisee mbona Airtel anajikongoja sanašMkuu, unapokaa pana issue ya speed sio Airtel aisee.
View attachment 3184334
Mimi Airtel imekua mkombozi sana aisee. Mwezi wa 4 tokea ninunue na sijawahi kujuta.
View attachment 3184335
Kwa sasa nimeunga device 3, TV simu na Laptoona zote zinapiga mzigo.
View attachment 3184336
Youtube nipo FHD na 4K mara chache ndio inaganda ganda.
View attachment 3184337
Nimejiunga cha 70k so 10mbps
Kuomba tu huduma ya starlink iweze kufika kwa wakati tuwakimbie hawa wezi wa hela zetuHuo ndio umazafaka ambao siutaki kuusikia.
Maswala ya kuniuzia godoro halafu unaninyima usingizi huo ni wizi.
Daahššš½, hiyo speedš„
Wengi wetu hatujastukia hilo.Hakuna utapeli, Kwenye unlimited internet kuna kipengere kInaitwa Fair Usage Policy, ukivuka kiasi flani cha matumizi speed inashushwa, Sio Tanzania pekee ni mpaka kampuni kubwa duniani kama Starlink.
Kibiashara inatumika kubana wapiga dili wanaouzia watu wengine
Mbona wenye router za voda hawalalamikii hili suala la fair usage policy, kwao ni unlimited really kabisaWengi wetu hatujastukia hilo.
Star link pia ana shusha speed baada ya kufikia matumizi fulani, nimesahau kidogo ila makadirio 2.4TB ndani ya mwezi.
Pia tusisahau star link ni ghali mno kufananisha na makampuni tuliyozoea Tanzania.
Satellite internet ni mahsusi kwa aliyeko nnje ya mji.
Lakini yote hayo hatuna wa kutupazia sauti
Ni bora starlink ije tu ili huu wizi utokomee kwa kiasi chakeSababu wenye mamlaka ni wanufaika wa hizo kero. Hapa mkombozi ni bwana Elon Musk tu!
Safaricom mpaka kesho wanalaani ujio wa StarLink Africa.
Halafu ukiwapigia simu wanasema tusharesolve suala lako, lakini kumbe ni hovyo tuAirtel are scammers Mimi na line haifanyi kazi now kama router kabisa
My number can't even buy a HBB bundle nowHalafu ukiwapigia simu wanasema tusharesolve suala lako, lakini kumbe ni hovyo tu
Nikweli,hamia kwenye mtandao wenye kasi, biashara ni ushindaniHabari za wakati huu wanajukwaa.
Bila kupoteza muda wiki iliyopita nilijiunga kifurushi cha mbps 10 unlimited kwenye router ya airtel smartbox 5g kwa tsh 70k, Mwanzo speed ilikuwa really 10mb per second lakn leo ghafla asubuhi imeshuka had 1mb per second na haitaki kupanda.
Yaani natumia speed ya kobe na mtumiaji ni mimi pekee yangu nimeunganisha device mbili pc na simu tu, kwanini airtel hawataki kutuambia ukweli kwamba hizi router siyo unlimited badala yake ikifkia ukomo wa mb walizokupangia huwa wanashusha speed kusema ukweli huu ni utapeliš
View attachment 3184329