Airtel Money huduma mbovu sana, haya mmeondoa kipendele cha kuongea na muhudumu kimya kimya

Airtel Money huduma mbovu sana, haya mmeondoa kipendele cha kuongea na muhudumu kimya kimya

Mtini

JF-Expert Member
Joined
Apr 28, 2011
Posts
1,492
Reaction score
2,361
Kuna wakati hawa jamaa siwaelewi kabisa yaani kwenye hii Airtel Money, ukinunua luku wanakuletea tu kuwa malipo yako yamefanyika bila kuleta balance ya akaunti yako baada ya muamala huo kufanyika. Ukitaka kufanya muamala kama salio halitoshi wanakutumia msg salio halitoshi bila kuonyesha salio lililopo.

Sasa ninataka kuongea na muhudumu kipengele cha kuongea na muhudumu kilichokuwa kinapatikana ndani ya namba 100 mmekiondoa kimya kimya bila kutupa taarifa wala njia mbadala, hata kwenye website yenu hamuonyeshi mabadiriko hayo.

Haya wadau napiga namba ngapi kuongea na muhudumu wa airtel kwa anayejua.
 
Kweli mkuu, costumer care ya AIRTEL kwa ujumla ni mbovu sana

Hata hiyo no 100 unaweza ukapiga siku nzima na usimpate muhudumu wa kuongea nae.

Kwa kifupi kipengele cha kuongea na muhudumu kipo humo lakini utasumbuka sana.
 
Kweli mkuu, costumer care ya AIRTEL kwa ujumla ni mbovu sana

Hata hyo no 100 unaweza ukapiga siku nzima na usimpate muhudumu wa kuongea nae.

Kwa kifupi kipengele cha kuongea na muhudumu kipo humo lakini utasumbuka sana.
Niwecheck last week, sehemu ya kuongea na muhudumu haipo
 
Walivuna wateja wengi sana wa Tigo lakini kwa siku hizi 4 zilizopita wanaenda kupoteza 20% ya wateja
 
Nimeshaenda huko, sehemu ya salio wanakuletea salio na kawaida. Nataka kufahamu bando yangu ya internet imebaki kiasi gani. Sijaona hiyo option
*149*99#
n Next
10 Salio/ Matumizi bila bando
1 Salio
 
Niwecheck last week, sehemu ya kuongea na muhudumu haipo
Sehemu ipo lakini sio kama ilivyozoeleka kwa mitandao mingine,,

Ila ipo lakini kupata ni bahati sana,,

Haipo ktk mpangilio mzr kuipata..

Hata mm Leo sikumbuki niliwapataje,,ila wapo mkuu..
 
Nimeshaenda huko, sehemu ya salio wanakuletea salio na kawaida. Nataka kufahamu bando yangu ya internet imebaki kiasi gani. Sijaona hiyo option
Mbona ipo uipiga hiyo *149*99# kasha chagua n ambayo ni next kicha chagua 10 ambayo ni salio/matumizi bila bando kasha chagua 1 salio utapata balance ya kila kitu
 
Sehemu ipo lakini sio kama ilivyozoeleka kwa mitandao mingine

Ila ipo lakini kupata ni bahati sana

Haipo ktk mpangilio mzr kuipata

Hata mm Leo sikumbuki niliwapataje, ila wapo mkuu.
Ni kweli imefichwa. Mimi niliongea nao, lakini ni mlolongo mrefu sana.
 
Ni kweli imefichwa. Mimi niliongea nao, lakini ni mlolongo mrefu sana.
Kwl mkuu,,haipo kwenye mpangilio mzr

Unajikuta unasikia

-- hello!!

--Unaongea na huduma kwa wateja AIRTEL

--Unapiga simu toka wapi tafadhali?

Ukiambiwa urudie kuwatafuta tena huwezi
 
Kweli mkuu,,,costumer care ya AIRTEL kwa ujumla ni mbovu sana,,

Hata hiyo no 100 unaweza ukapiga siku nzima na usimpate muhudumu wa kuongea nae..

Kwa kifupi kipengele cha kuongea na muhudumu kipo humo lakini utasumbuka sana.
Nimeimsikiliza kila kipengele ila nimegonga mwamba aisee
 
Nimeimsikiliza kila kipengele ila nimegonga mwamba aisee
Usichoke kurudia rudia ,

Utasikia tu .


Hello!!

huduma kwa wateja AIRTEL,,

Nani unaongea na unapiga simu toka wapi tafadhali?
 
Hahaahhaha hii sasa hatari aisee
Hakuna jinsi mkuu,,

Hawa jamaa wa AIRTEL hawana mpangilio mzr kupata kuzungumza na muhudumu.

Hata vifurushi vyao pia huisha kabla 24 hours..

Utakuta ukiuliza salio la bandle linakwambiya una mb za kutosha,,lakini internet hupati kabisa kama Bandle limekwisha.
 
Nimeshaenda huko, sehemu ya salio wanakuletea salio na kawaida. Nataka kufahamu bando yangu ya internet imebaki kiasi gani. Sijaona hiyo option
Wakikujibu ni tag na mimi
 
Back
Top Bottom