Airtel Money huduma mbovu sana, haya mmeondoa kipendele cha kuongea na muhudumu kimya kimya

Airtel Money huduma mbovu sana, haya mmeondoa kipendele cha kuongea na muhudumu kimya kimya

Kweli mkuu,,,costumer care ya AIRTEL kwa ujumla ni mbovu sana,,

Hata hiyo no 100 unaweza ukapiga siku nzima na usimpate muhudumu wa kuongea nae..

Kwa kifupi kipengele cha kuongea na muhudumu kipo humo lakini utasumbuka sana.
Si bora hata usimpate iyo no yenyewe 100 unaweza piga na isiende kabisa yani isiite kabisa
 
Hakuna jinsi mkuu,,

Hawa jamaa wa AIRTEL hawana mpangilio mzr kupata kuzungumza na muhudumu.

Hata vifurushi vyao pia huisha kabla 24 hours..

Utakuta ukiuliza salio la bandle linakwambiya una mb za kutosha,,lakini internet hupati kabisa kama Bandle limekwisha.
Kwenye mb nilikoma kabisa yaani, mtandao konokono. Unanunua gb 2 hadi kifurushi kinaisha muda umetumia mb 200
 
Si bora hata usimpate iyo no yenyewe 100 unaweza piga na isiende kabisa yani isiite kabisa
Kipindi cha nyuma wakati wanapatikan kwenye namba 100, nikipiga simu siku mbili, simu za kutosha yaani bila kumpata muhudu nikajitoa
 
Sijui lengo la hizi kampuni kuondoa kipengele cha kuongea na muhudumu ni lipi. Voda niliokuwa nikiwasifia usiku na mchana wamegeuka majambazi na wao. Nina mwezi sipatikani wakati simu iko hewani na wao kwenye kipengele cha kuongea nao hakuna.
 
Kipindi cha nyuma wakati wanapatikan kwenye namba 100, nikipiga simu siku mbili, simu za kutosha yaani bila kumpata muhudu nikajitoa
Nimepiga jana iyo namba haiendi kabisa ni bora hata ingeconnect nisikie ..bonyeza moja kwa kiswahili au bonya mbili kwa kingereza holaaaaa hakuna kitu SHWAIN kabisa
 
Habari ndugu wateja, pole kwa changamoto.
Tumegundua wateja wengi wanaongea utumbo wakitupigia simu, hivyo sasa ukitaka kuongea na sisi lazima ujue lugha ya kiingereza kwa ufasaha. Na kuonesha kuwa tupo siriasi na tunamaanisha katika hilo, tumewaandalia namba yenu maalum ili kuongea na sisi. Piga 101 kisha chagua 1>5>2>2.
Aliyeuliza kuhusu kuangalia salio la vifurushi piga *149*99*10*1#
Aliyeuliza kuhusu message kuchelewa kufika, ni kweli tulikuwa na hilo tatizo lakini mafundi wetu wameshashughulikia. Tulikuwa pia na tatizo la kulemaa kwa mtandao wiki iliyopita ambapo tatizo limeisha. Pia kulikuwa na tatizo la usikivu mbovu wa simu, yaani mtu anakuwa anasikika kama yupo kwenye chungu, nalo linaelekea kuisha kabisa.
Aliyeuliza kutopewa salio akinunua umeme, ndugu mteja unatutega? Ukiambiwa salio halitoshi manake utafute hela uweke! Ukitaka kujua salio tumia menu yetu ya airtel money. Kwani ukinunua umeme kupitia kupitia NMB huwa unapewa salio lililobaki kwenye akaunti yako?
NIMEJIBU KWA NIABA YA AIRTEL
 
Habari ndugu wateja, pole kwa changamoto.
Tumegundua wateja wengi wanaongea utumbo wakitupigia simu, hivyo sasa ukitaka kuongea na sisi lazima ujue lugha ya kiingereza kwa ufasaha. Na kuonesha kuwa tupo siriasi na tunamaanisha katika hilo, tumewaandalia namba yenu maalum ili kuongea na sisi. Piga 101 kisha chagua 1>5>2>2.
Aliyeuliza kuhusu kuangalia salio la vifurushi piga *149*99*10*1#
Aliyeuliza kuhusu message kuchelewa kufika, ni kweli tulikuwa na hilo tatizo lakini mafundi wetu wameshashughulikia. Tulikuwa pia na tatizo la kulemaa kwa mtandao wiki iliyopita ambapo tatizo limeisha. Pia kulikuwa na tatizo la usikivu mbovu wa simu, yaani mtu anakuwa anasikika kama yupo kwenye chungu, nalo linaelekea kuisha kabisa.
Aliyeuliza kutopewa salio akinunua umeme, ndugu mteja unatutega? Ukiambiwa salio halitoshi manake utafute hela uweke! Ukitaka kujua salio tumia menu yetu ya airtel money. Kwani ukinunua umeme kupitia kupitia NMB huwa unapewa salio lililobaki kwenye akaunti yako?
NIMEJIBU KWA NIABA YA AIRTEL
Wanakulipa bei gani?
 
Habari ndugu wateja, pole kwa changamoto.
Tumegundua wateja wengi wanaongea utumbo wakitupigia simu, hivyo sasa ukitaka kuongea na sisi lazima ujue lugha ya kiingereza kwa ufasaha. Na kuonesha kuwa tupo siriasi na tunamaanisha katika hilo, tumewaandalia namba yenu maalum ili kuongea na sisi. Piga 101 kisha chagua 1>5>2>2.
Aliyeuliza kuhusu kuangalia salio la vifurushi piga *149*99*10*1#
Aliyeuliza kuhusu message kuchelewa kufika, ni kweli tulikuwa na hilo tatizo lakini mafundi wetu wameshashughulikia. Tulikuwa pia na tatizo la kulemaa kwa mtandao wiki iliyopita ambapo tatizo limeisha. Pia kulikuwa na tatizo la usikivu mbovu wa simu, yaani mtu anakuwa anasikika kama yupo kwenye chungu, nalo linaelekea kuisha kabisa.
Aliyeuliza kutopewa salio akinunua umeme, ndugu mteja unatutega? Ukiambiwa salio halitoshi manake utafute hela uweke! Ukitaka kujua salio tumia menu yetu ya airtel money. Kwani ukinunua umeme kupitia kupitia NMB huwa unapewa salio lililobaki kwenye akaunti yako?
NIMEJIBU KWA NIABA YA AIRTEL
Waambie hao wajinga hawaelewi mambo yanavyokwenda. Wanapenda kulalamika lalamika tu.

Sent from my SM-G981B using JamiiForums mobile app
 
Kweli mkuu, costumer care ya AIRTEL kwa ujumla ni mbovu sana

Hata hiyo no 100 unaweza ukapiga siku nzima na usimpate muhudumu wa kuongea nae.

Kwa kifupi kipengele cha kuongea na muhudumu kipo humo lakini utasumbuka sana.
Ipo mkuu chagua muhudumu data sio eartel money
 
Kwa sasa customer care ya Airtel ndio huduma mbovu kabisa kuliko huduma zote hapa nchini, kila mteja anahaki ya kuongea na mhudumu, sio kila tatizo linatatuliwa na automatic voice response. Ni ngumu mno kuongea na mtoa huduma wa airtel ..... nadhani hii kampuni inaelekea kufa kabisa. Kwa wateja wa Airtel nawashauri wajiunge mitandao mingine kunasiku watazima switch ghafla hapo wateja watabaki solemba. AIRTEL BADILIKENI
 
Kuna wakati hawa jamaa siwaelewi kabisa yaani kwenye hii Airtel Money, ukinunua luku wanakuletea tu kuwa malipo yako yamefanyika bila kuleta balance ya akaunti yako baada ya muamala huo kufanyika. Ukitaka kufanya muamala kama salio halitoshi wanakutumia msg salio halitoshi bila kuonyesha salio lililopo.

Sasa ninataka kuongea na muhudumu kipengele cha kuongea na muhudumu kilichokuwa kinapatikana ndani ya namba 100 mmekiondoa kimya kimya bila kutupa taarifa wala njia mbadala, hata kwenye website yenu hamuonyeshi mabadiriko hayo.

Haya wadau napiga namba ngapi kuongea na muhudumu wa airtel kwa anayejua.
Huo ni mtandao wa serikali ya kikoloni ndio maana wanaendekeza mambo ya kilofa lofa.
 
Hawa Airtel wabovu sana hata kwenye msg ukituma leo inafika kesho. Hovyo sana!
Awali nilikuwa nadhaniaga tu Ni Mimi peke yangu ndiye naye fikwa nahayo maswahibu ...Ebwana weee Airtel Ni kisanga na nusu .. Unaweza ukapigiwa simu ikawa haipatikani ukitumiwa text hazifiki ...hiyo network ya Data sasa ndio utachoka kabisa .... Mimi niliamua kuikata kata line na kuitupilia mbali 😁
 
Kuna siku nilijiunga na kifurushi cha week halafu ikawa Nina mazungumzo nyeti na jamaa yangu Mmoja hivi ... Sindio nikampigia kwa Airtel aise nilikoma ..kila nikipiga tunaongea lakini hatusikilizani halafu simu inakata Yule jamaa aliniona wack kweli siku ile .. alikuwa anadhani kuwa natumia simu mbovu ..basi siku ile ile nikakasirika nikaamua kuikatakata line ya Airtel
Kwenye mb nilikoma kabisa yaani, mtandao konokono. Unanunua gb 2 hadi kifurushi kinaisha muda umetumia mb 200
 
Kuna wakati hawa jamaa siwaelewi kabisa yaani kwenye hii Airtel Money, ukinunua luku wanakuletea tu kuwa malipo yako yamefanyika bila kuleta balance ya akaunti yako baada ya muamala huo kufanyika. Ukitaka kufanya muamala kama salio halitoshi wanakutumia msg salio halitoshi bila kuonyesha salio lililopo.

Sasa ninataka kuongea na muhudumu kipengele cha kuongea na muhudumu kilichokuwa kinapatikana ndani ya namba 100 mmekiondoa kimya kimya bila kutupa taarifa wala njia mbadala, hata kwenye website yenu hamuonyeshi mabadiriko hayo.

Haya wadau napiga namba ngapi kuongea na muhudumu wa airtel kwa anayejua.
Huduma za AIRTEL ni mbovu kwa ujumla wake. Hata ukipiga simu mara nyingi usikivu ni shida.
 
Back
Top Bottom