Niwecheck last week, sehemu ya kuongea na muhudumu haipoKweli mkuu, costumer care ya AIRTEL kwa ujumla ni mbovu sana
Hata hyo no 100 unaweza ukapiga siku nzima na usimpate muhudumu wa kuongea nae.
Kwa kifupi kipengele cha kuongea na muhudumu kipo humo lakini utasumbuka sana.
*149*99# hapo mwenza utakutana na kila kituMwenye kufahamu jinsi ya kuangalia salio na bando Airtel anielekeze tafadhali
Nimeshaenda huko, sehemu ya salio wanakuletea salio na kawaida. Nataka kufahamu bando yangu ya internet imebaki kiasi gani. Sijaona hiyo option*149*99# hapo mwenza utakutana na kila kitu
*149*99#Nimeshaenda huko, sehemu ya salio wanakuletea salio na kawaida. Nataka kufahamu bando yangu ya internet imebaki kiasi gani. Sijaona hiyo option
Sehemu ipo lakini sio kama ilivyozoeleka kwa mitandao mingine,,Niwecheck last week, sehemu ya kuongea na muhudumu haipo
Mbona ipo uipiga hiyo *149*99# kasha chagua n ambayo ni next kicha chagua 10 ambayo ni salio/matumizi bila bando kasha chagua 1 salio utapata balance ya kila kituNimeshaenda huko, sehemu ya salio wanakuletea salio na kawaida. Nataka kufahamu bando yangu ya internet imebaki kiasi gani. Sijaona hiyo option
Ni kweli imefichwa. Mimi niliongea nao, lakini ni mlolongo mrefu sana.Sehemu ipo lakini sio kama ilivyozoeleka kwa mitandao mingine
Ila ipo lakini kupata ni bahati sana
Haipo ktk mpangilio mzr kuipata
Hata mm Leo sikumbuki niliwapataje, ila wapo mkuu.
Kwl mkuu,,haipo kwenye mpangilio mzrNi kweli imefichwa. Mimi niliongea nao, lakini ni mlolongo mrefu sana.
Nimeimsikiliza kila kipengele ila nimegonga mwamba aiseeKweli mkuu,,,costumer care ya AIRTEL kwa ujumla ni mbovu sana,,
Hata hiyo no 100 unaweza ukapiga siku nzima na usimpate muhudumu wa kuongea nae..
Kwa kifupi kipengele cha kuongea na muhudumu kipo humo lakini utasumbuka sana.
Usichoke kurudia rudia ,Nimeimsikiliza kila kipengele ila nimegonga mwamba aisee
Hakuna jinsi mkuu,,Hahaahhaha hii sasa hatari aisee
Wakikujibu ni tag na mimiNimeshaenda huko, sehemu ya salio wanakuletea salio na kawaida. Nataka kufahamu bando yangu ya internet imebaki kiasi gani. Sijaona hiyo option