Hoppity Cywale
Senior Member
- Aug 20, 2013
- 126
- 29
Unawadanganya madogo zako ee!mi niliangalia kuptia yatosha then siku hyohyo nikatumiwa sms wakati lilikuwa chaguo la tatu na chuo. pia rafk yangu nilimuangalizia yatosha nikakuta( )na badae jna lake lkatoka 3rd applcants.pia jamaa mwingine yatosha ilimuonesha jordan then jna lmetoka kajkuta.UNATWAMBIA NINI!!!