mtafuta-maisha
JF-Expert Member
- Nov 5, 2016
- 1,982
- 2,931
- Thread starter
- #41
Yah mkuu, lakini ujue hakuanza lipwa hivyo kwenye season za mwanzo, kaanza lipwa hivyo kwenye season iliyopita na ndiye amekuwa highest paid actor kwenye upande wa series.Kwa hyo unataka kusema kwa season moja emilia Clarke anaweza kuinunua simba sports club(mikia) na akabaki na 30 billion [emoji23] [emoji23]
Anasifiwa kwa kuweza kucheza uhusika maana series inaanza kakiwa hakana nguvu kaoga kanaogopa ogopa ila series inavyoendelea mpaka sasa ni among the most feared people nguvu ya kupigana hana ila anajiamini akiwa na dragon wake