Aisee Bongo movie bado sana tusubiri miaka 1000

Aisee Bongo movie bado sana tusubiri miaka 1000

Kwa hyo unataka kusema kwa season moja emilia Clarke anaweza kuinunua simba sports club(mikia) na akabaki na 30 billion [emoji23] [emoji23]
Yah mkuu, lakini ujue hakuanza lipwa hivyo kwenye season za mwanzo, kaanza lipwa hivyo kwenye season iliyopita na ndiye amekuwa highest paid actor kwenye upande wa series.
Anasifiwa kwa kuweza kucheza uhusika maana series inaanza kakiwa hakana nguvu kaoga kanaogopa ogopa ila series inavyoendelea mpaka sasa ni among the most feared people nguvu ya kupigana hana ila anajiamini akiwa na dragon wake
 
Mkuu hii series ni noma sana weka mbali na watoto imetokana na series ya novels zinaitwa the seven kingdoms japo kuna mabadiriko mengi kwenye series kiasi kwamba ukiwa umesoma vile vitabu huenda ukaona hata story hazifanani...
Ni kingdom saba na watu saba kila mmoja ndiye anadai ana haki ya kuwa mtawala wa hizo falme.
Sasa mtiti wake ni noma ila ndani kuna vistory story vingi usaliti, revenge, aliyedharauliwa kuja kuwa ndo mwenye nguvu, siri, nguvu za giza yani ni full package.
Nilidhani spartacus ndo itakuwa my best series ila GOT acha kabisa mkuu
.
aseee,,ngja niipakue nijionee
 
.
aseee,,ngja niipakue nijionee
Kupakua kutakupotezea muda tafta 14000 nenda mwenge wakuwekew zote kwenye external maana mpaka sasa ishafika season ya saba bado ya nane ndo tunaisubiria na ndo ya mwisho
 
Kupakua kutakupotezea muda tafta 14000 nenda mwenge wakuwekew zote kwenye external maana mpaka sasa ishafika season ya saba bado ya nane ndo tunaisubiria na ndo ya mwisho
.
aaah owkay mkuu.shukrani
 
Kuna kipande kimoja katika bongo movies, kuna mtu kamiminiwa risasi kama 1500 hivi alikuwa juu ya piki piki basi akashuka na risasi zake mwilini akapaki pikipiki kisha akafa.
Ume nifurahisha sana mkuu..,😛😛😛
 
GOT ilivyoanza sikuifatilia. Nikaja kuiangalia baadae na ikanivutia sana. Especially the love between Arya na Jon Snow.

Upukupuku wa bongo movie wabaki nao tu mpaka leo bado damu wanatumia tomato sauce, jambazi lzm akunje sura, housegirl lazima awe mchafu,
 
Tatizo ukikipenda hiki chama hata thinking inaathirika ndo maana bongo movie wako hivyo walivyo
 
Naamini moja ya sababu ya bongo.movie ku fail ni kujiingiza katika siasa. Wanajua kabisa jinsi gani siasa ina effect kubwa sana kwa vijana hapa nchini, kitendo cha wao kuonyesha mahaba na upande fulani, kinawafanya vijana wengi kutokutaka kusupport kazi zao all in the name of siasa.

Bongo movie walifanya mistake kubwa kuingia kwenye siasa.

Chapili ni maadili. Wasanii walitakiwa wawe kioo cha jamii, sio kioo cha maadili mabaya. Tumeona jinsi wasanii wengi wanapoteza dhamani kwa kujiachia uchi wakidhani ndio wanapata kiki kumbe ndio wanaharibu.
Wajifunze kwa gabo, kiki si nyingi lakin kazi yake inajitangaza na inamtangaza yeye.

Bongo movie wanatakiwa warud nyuma na ku reflect nini kimefanya tasnia ife. Wafanye kazi kama team, waache umimi.
Mimi sioni kama kushiriki mikutano ya siasa ndo kumewaangusha.
Mtazame Diamond aliyeshiriki hiyo mikutano, yupo wapi sasa.
Tatizo la Bongo movie hawaendi na wakati katika utunzi wao. Mi huwa nakerwa na maigizo yao tangu afe Kanumba sina mood nayo
 
Kuna kipande kimoja katika bongo movies, kuna mtu kamiminiwa risasi kama 1500 hivi alikuwa juu ya piki piki basi akashuka na risasi zake mwilini akapaki pikipiki kisha akafa.
[emoji28] [emoji28] [emoji28] [emoji28] only in bongo movies
 
Hivi maandamano yao ya kushinikiza kuangalia kwa lazima bongo movie aliishia wap?
 
Hivi hayo ma bongo muvi bado watu mnayaangalia?
Haya sasa kama nyie wenyewe hamu yaangalii msilaumu wakilipwa buku buku tuu.
Mi spendi bongo movie lakini sijawahi walaumu kwa kulipwa kdogo.
 
Back
Top Bottom