mtafuta-maisha
JF-Expert Member
- Nov 5, 2016
- 1,982
- 2,931
- Thread starter
-
- #41
Yah mkuu, lakini ujue hakuanza lipwa hivyo kwenye season za mwanzo, kaanza lipwa hivyo kwenye season iliyopita na ndiye amekuwa highest paid actor kwenye upande wa series.Kwa hyo unataka kusema kwa season moja emilia Clarke anaweza kuinunua simba sports club(mikia) na akabaki na 30 billion [emoji23] [emoji23]
Hako ka Steve ndiyo kanawauza mademu wa bongo movie kwa micSteve nyerere ndo ana waharibia kazi
.Mkuu hii series ni noma sana weka mbali na watoto imetokana na series ya novels zinaitwa the seven kingdoms japo kuna mabadiriko mengi kwenye series kiasi kwamba ukiwa umesoma vile vitabu huenda ukaona hata story hazifanani...
Ni kingdom saba na watu saba kila mmoja ndiye anadai ana haki ya kuwa mtawala wa hizo falme.
Sasa mtiti wake ni noma ila ndani kuna vistory story vingi usaliti, revenge, aliyedharauliwa kuja kuwa ndo mwenye nguvu, siri, nguvu za giza yani ni full package.
Nilidhani spartacus ndo itakuwa my best series ila GOT acha kabisa mkuu
Kupakua kutakupotezea muda tafta 14000 nenda mwenge wakuwekew zote kwenye external maana mpaka sasa ishafika season ya saba bado ya nane ndo tunaisubiria na ndo ya mwisho.
aseee,,ngja niipakue nijionee
.Kupakua kutakupotezea muda tafta 14000 nenda mwenge wakuwekew zote kwenye external maana mpaka sasa ishafika season ya saba bado ya nane ndo tunaisubiria na ndo ya mwisho
Ume nifurahisha sana mkuu..,😛😛😛Kuna kipande kimoja katika bongo movies, kuna mtu kamiminiwa risasi kama 1500 hivi alikuwa juu ya piki piki basi akashuka na risasi zake mwilini akapaki pikipiki kisha akafa.
Sio wabunifu basi.Bongo movie imekuwa kitengo cha chama yaani kama vile TOT
Kwenye mabasi huwa nalazimika kuangali simu yangu.kwani kuna watu wanaangaliaga bado huo uchafu wa bongo
Mimi sioni kama kushiriki mikutano ya siasa ndo kumewaangusha.Naamini moja ya sababu ya bongo.movie ku fail ni kujiingiza katika siasa. Wanajua kabisa jinsi gani siasa ina effect kubwa sana kwa vijana hapa nchini, kitendo cha wao kuonyesha mahaba na upande fulani, kinawafanya vijana wengi kutokutaka kusupport kazi zao all in the name of siasa.
Bongo movie walifanya mistake kubwa kuingia kwenye siasa.
Chapili ni maadili. Wasanii walitakiwa wawe kioo cha jamii, sio kioo cha maadili mabaya. Tumeona jinsi wasanii wengi wanapoteza dhamani kwa kujiachia uchi wakidhani ndio wanapata kiki kumbe ndio wanaharibu.
Wajifunze kwa gabo, kiki si nyingi lakin kazi yake inajitangaza na inamtangaza yeye.
Bongo movie wanatakiwa warud nyuma na ku reflect nini kimefanya tasnia ife. Wafanye kazi kama team, waache umimi.
[emoji28] [emoji28] [emoji28] [emoji28] only in bongo moviesKuna kipande kimoja katika bongo movies, kuna mtu kamiminiwa risasi kama 1500 hivi alikuwa juu ya piki piki basi akashuka na risasi zake mwilini akapaki pikipiki kisha akafa.
Haya sasa kama nyie wenyewe hamu yaangalii msilaumu wakilipwa buku buku tuu.Hivi hayo ma bongo muvi bado watu mnayaangalia?