Extrovert JF-Expert Member Joined Feb 29, 2016 Posts 70,785 Reaction score 186,690 Aug 23, 2022 Thread starter #41 TODAYS said: Mkuu ni wadosi hao wanashereheka... Click to expand... Wawe wanatoa taarifa pumbav sana
TODAYS JF-Expert Member Joined Apr 30, 2014 Posts 14,747 Reaction score 24,250 Aug 23, 2022 #42 kyagata said: Wanasherekea sensa au? Click to expand... Kama sijakosea ni mwaka wao wa kiimani. Extrovert said: Wawe wanatoa taarifa pumbav sana Click to expand... Taarifa wanapewa wenye nchi, nyie huko sijui wapi huko Mwananyamala hata mkifa kwa presha haisumbui wenye nchi, wanajua mchango wako jwa taifa haupo, 😁 aseee!.
kyagata said: Wanasherekea sensa au? Click to expand... Kama sijakosea ni mwaka wao wa kiimani. Extrovert said: Wawe wanatoa taarifa pumbav sana Click to expand... Taarifa wanapewa wenye nchi, nyie huko sijui wapi huko Mwananyamala hata mkifa kwa presha haisumbui wenye nchi, wanajua mchango wako jwa taifa haupo, 😁 aseee!.
Smart911 Platinum Member Joined Jan 3, 2014 Posts 135,167 Reaction score 160,806 Aug 23, 2022 #43 Sensa na makazi...