Aisee! Kumbe Harmonize hatanii, ameonekana kituo cha polisi kufuatilia udhalilishaji aliofanyiwa binti yake

Hapo kesi labda ni kuchapisha maudhui yasiyofaa mitandaoni..private candidate huyo sio mwanafunzi. Binti mwenyewe anaonekana ni malaya tu.
Hata hiyo video haina maudhui ya kingono Kama tunavyoaminishwa ebu cheki hiyo video inatatizo?hiyo video unaweza kuifananisha ya kina umber rutty serious?
 
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] daaaaah, ila kwa maelezo haya, vanny boy yupo hatarini, maana muhusika anamtema na kumuangushia mzigo wa case lol. Patamu hapo.
Sema hili me naona likiisha kikubwa zaidi
 
Elimu haijanisaidia kupata hela ila imenitoa upumbavu wa kukurupuka na kuendeshwa na hisia bila facts. Harmonise anakurupuka kesi ipo TCRA ila si hicho anachokifikiri
Jambo lolote si linaelekezwa mkuu kama hajui si ataambiwa
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…