Aisee! Kumbe Harmonize hatanii, ameonekana kituo cha polisi kufuatilia udhalilishaji aliofanyiwa binti yake

Aisee! Kumbe Harmonize hatanii, ameonekana kituo cha polisi kufuatilia udhalilishaji aliofanyiwa binti yake

Vijana wengi wazembe,
wengi waongo,
chumbani butuuuu,
Wazeee wa mndende,
mara mkongo, alkasusuu,
Zamani si ndo majembeeeee😆😆😆😆 hii nyimbo ya chui naikubali sanaaaaa🤣🤣🤣🤣🤣🤣
Chui mnyama mmbayaaaa 😀😀😀😀
 
Unapomuongelea Diamond unamuongelea JPM mwenyewe a.k.a ngosha au jiwe..... Waulize TCRA wakwambie kilichowapata baada ya Mond kumpigia simu Mzee , Mzee aliuliza Tu adhabu imeanza Lin , kilichofuata adhabu inaishia mwez huu....Wasafi TV hewani
Sio poa
 
Unasikia mkuu, ipo hivi.

Kwa nini paula tunasem ni mwanafunzi,
Moja umri wake bado mdogo, pili yupo chini ya mzazi/wazazi.

Tunasema ni mtoto ambaye amerubuniwa na kuharibiwa future yake.
Bora angekua amemaliza au private candidate wa kidato cha 6. Huyu paula alikua bado in between secondar School it means bado mtoto sana huyo, na kuna uwezekano yeye Rayvany ndo kamfelisha mtihani wa taifa wa kidato cha nne.
Huyo Paula ana miaka mingapi?
 
Ok sawa nimekuelewa.!

Kwa hoja zako inawezekana jamaa asiwe na kesi ya kujibia au kisheria yupo free.
Lakini twende mbele kitamaduni na maadili, haipendezi kwa rayvan kwa umri wake kutembea na msichana mdogo vile, lkn pia kitendo cha kurusha hizo clip haijakaa vema hata kama mama amemkosea katika malezi.
Msanii si ndo kioo cha jamii!??

Nimeona Kajala akimlaumu mobeto kwa kitendo cha kumchukua mwanae kwa kumdanganya anamtoa out kumbe anaenda kumkutanisha na huyo jamaa. Naamin mzazi lazima aumie ni udhalilishaji ni bora ikawa soro lkn sio ku publize.!

Maandiko yanasema, usichopenda kufanyiwa usikifany kwa mwenzako.

Huyo msanii kafanya hivyo, asishangae na mwanae anakuja kufanyiwa vitendo the same.!
Nnaposema mtoto ana miaka mingapi saizi? Kama amefikisha 18 kisheria ni mtu mzma. Afu shida gani IPO hapo kupigana busu ndo iwe shida?
Kwenye hii video inayo trend kosa la vannyboy itakua kama huyo mtoto ni chini ya miaka 18 au kama ni mwanafunzi.Suala la umri kwenye mapenzi halina nafasi, mbona mwanaume wa miaka 30 anaoa mwanamke wa miaka 19
 
Wanazengo wamepiga kambi mtandaoni kumtetea Rayvanny.

Rayvanny kamdhalilisha Paula mtandaoni.

WCB hawanabudi kujitenge na Rayvanny, imkane ili kusave brand yao isizame kwa kashfa ya ufuska na udhalilishaji.

Kitendo cha WCB kunyamazia hii issue inaonyesha wanakubaliana na Rayvanny na udhalilishaji alioufanya Rayvanny.
Hivi hapo udhalilishaji ni UPI? Hivi kuna video nyingine zaidi ya hii wanapigana busu na mwanamke mwenyewe anamwita baba?
Huyo wa miaka 20 mnasema ni mtoto ni utoto wa namna gani maana hata kisheria haupo.
Au labda kama ni mwanafunzi inaweza ikawa kesi kua kwenye mahusiano na mwanafunzi.
Mtoto kisheria haruhusiwi kua na account ya histagram, maana ili uwe na simu kisheria lazima utimize miaka 18, utoto wa huyo ni UPI?
Au watu mnawivu tu na penzi la vany boy
 
Kwanza sheria ya ndoa inasema mwanamke anaolewa akiwa kuanzia miaka 14
Nnaposema mtoto ana miaka mingapi saizi? Kama amefikisha 18 kisheria ni mtu mzma. Afu shida gani IPO hapo kupigana busu ndo iwe shida?
Kwenye hii video inayo trend kosa la vannyboy itakua kama huyo mtoto ni chini ya miaka 18 au kama ni mwanafunzi.Suala la umri kwenye mapenzi halina nafasi, mbona mwanaume wa miaka 30 anaoa mwanamke wa miaka 19
 
Huyo Harmonize naona amekurupuka, ametafuta public sentiment tu lakini. Kupiga busu na mpenzi ndo iwe udhalilishaji? Public sentiment ameitafuta lakini sidhani kama sheria ya udhalilishaji itamhukumu vanyboy, labda issue ya mwanafunzi hapo ndo sujui status ya huyo dogo ka ni mwanafunzi au la.
Kama ni udhalilishaji ni udhalilishaji wa namna gani, wa kingono hapana, au kwamba vany hana hadhi ya kua kwenye mahusiano na Paula,
Konde akubalia tu kua baba mkwe wa kambo
 
Back
Top Bottom