Aisee kumbe LAKI NI PESA

Aisee kumbe LAKI NI PESA

Nathan Jr

JF-Expert Member
Joined
Sep 14, 2017
Posts
1,437
Reaction score
1,883
Ule msemo ulokuwa umezoeleka kwamba laki so pesa, naona hakuna maana yake tena, ukitaka kujua laki ni pesa jua kwamba kwenye laki kuna 10,000 Mara kumi, je kwa sasa unayo hata 10,000 moja?

Wanao comment hapa wengi hawana watajitutumua tu kwamba wanayo Ila ukiwakagua hoi bin Taaban

NARUDIA LAKI NI PESA
 
Kuna member humu anajiita laki si pesa sijawahi mwona tena wala kumsikia nadhani kwisha habari yake
Ule msemo ulokuwa umezoeleka kwamba laki so pesa, naona hakuna maana yake tena, ukitaka kujua laki ni pesa jua kwamba kwenye laki kuna 10,000 Mara kumi, je kwa sasa unayo hata 10,000 moja?

Wanao comment hapa wengi hawana watajitutumua tu kwamba wanayo Ila ukiwakagua hoi bin Taaban

NARUDIA LAKI NI PESA
 
Back
Top Bottom