Mlolongo
JF-Expert Member
- Jul 4, 2019
- 3,483
- 6,257
- Thread starter
- #181
Mambo baby wit.Nayo sio mbaya
Mwenzio mwaka mpya nataka kuagiza gari mpya, but be4 this, hii miezi miwili iliyobaki nataka nikae na rafiki yangu pale NIT, anipige brush kuhusu kifaa cha gari kikiharibika, huu mtumba mpya ukiingia bongo nakuwa expert sikanyagi kwa fundi tena, zaidi ya kufungua nut na kupachika kifaa kipya
Ulifanikiwa kununua gari mpya?
Ulivuta gari gani mrembo. Sorry