witnessj
JF-Expert Member
- Mar 22, 2015
- 28,704
- 47,260
Naona Chura unammiliki mnyama mwenyewe Biemu[emoji847][emoji847][emoji847] View attachment 1578559
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Naona Chura unammiliki mnyama mwenyewe Biemu[emoji847][emoji847][emoji847] View attachment 1578559
Mambo ya uchumi wa kati hayoHa ha ha ha
Ndo umempiga hayo mahela yote, si bora angeongezea anunue mpya[emoji16]
M performance 👏👏👏 humo service kubwa ukienda kwa 255 jerry na laki 5 kama mtoa mada unafurumushwa na makofi getini 🤣🤣🤣[emoji847][emoji847][emoji847] View attachment 1578559
Mafundi hawana maana kmmmk, siku ambayo walininunulisha Oil ya litre 1 sh.15,000 wakati inauzwa 10K niliacha mchezo nao.Wale jamaa ukiingia kwenye 18 zao wanakupiga kisawa sawa 😀
Kwamba kajifunza kitu😂😂😂[emoji28][emoji28][emoji28][emoji28][emoji28][emoji28][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Ila kajitahidi, mwanaume wa dar huwa hawagusagi hivyo vitu, grisi? Hell no
Umepigwa kwenye oil sill Ni elf tanoJuzi fundi aliniuliza mara ya mwisho kufanya service gari langu. Nikamwambia mie tangu niagize nikaanza kutembea nayo sijawahi kufanya intensive service mpaka ipate tatizo ndio naileta kwako.
Akashangaa sana. Akasema kawaida unaponunua gari either kwa mtu au kutoka nje, kabla hujaanza kuzurura nalo lifanyie service kwanza. Bila kujali aliyekuaa nalo alifanyia service lini. Labda hiyo gari iwe brand new.
Basi nikamwambia kesho (ambayo ishakua jana) nitaileta tuifanyie service. Kesho yake mapema tu nikatoa gari nje, nikafungua boneti, cheki oil na maji kwenye rejeta. Maji nikaongeza kidogo.
Nikatimba kwa fundi wangu mzuri pale Sinza Palestina. Tukaanza kazi. Uzuri step zote nilikuepo. Fundi ana vijana wake wawili. Namie nikawa pemben nawapiga tafu.
Wanafungua hiki, wananiambia kazi yake na kama kiko sawa wanasema kiko sawa. Wanafungua kile, kama hakiko sawa wanasema boss inabidi tubadilishe hiki, kimeisha sana.
Anyway, jioni nakuja kupewa mchanganuo wa gharama aisee nikasema "Bhagoshaaaaa mweeeee".
Ukiona mtu anaendesha gari kali barabarani kila siku mwamkie " shikamoo". Kumiliki gari inabidi ujipange aisee. Unakuta kampira au kachuma kadogo tu kanauzwa 65,000/=. Au kale kamkanda ka kwenye Steering wheel kana bei kubwa hadi nikashangaa!
Mchanganuo wake:
Vifaa, Fluids = 405,000
Ufundi = 100,000
Tip = 0
Jumla = 505,000
Fundi alisema gharama za vifaa hatuwezi ku-negotiate maana tumevinunua namie nikiwa nashuhudia. Gharama za Ufundi ndio tunaweza ongea.
Hata hivo kutokana na nilivokua nawaona vijana wakizama chini ya uvungu wa gari, wanamwagikiwa na oil, wanachafuka kinoma, wanafungua nati zingine zimekazwa kinoma, sikuona haja ya kugalaliza hela ya Ufundi.
Labda tu, safari hii sijampa fundi ile "Tip" ambayo nishagamzoesha.
ADDITIVE POINT:
Kitendo cha mie kuwasaidia mafundi wakati wanafanya service ya babywoka yangu imenifanya nijifunze vitu vingi sana kuhusu gari. Yaani hapa nilipo naweza kufungua boneti nikakuelezea kazi ya kila kidude, kila waya, kila pipe, kila chuma.
Matatito mengine madogo madogo nitakua nayamaliza mwenyewe home. Uzuri Toolbox ninayo.
Sio unakua kama Extrovert hata Fog Light ikiungua lazima aende garage pale Majengo Moshi.
Yaani mtu kama mng'ato anamiliki gari kali, lakin yeye anachojua ni kuwasha na kuondoka tu. Hata ukimuuliza hivi ukipiga honi ikawa hailii hatua ya kwanza utafanyeje, hajui!!!
View attachment 1578413
Hiyo ndio kabali yao,jamaa hawanaga huruma aisee 😀Mafundi hawana maana kmmmk, siku ambayo walininunulisha Oil ya litre 1 sh.15,000 wakati inauzwa 10K niliacha mchezo nao.
Wafungue kifaa kibovu wanipe naenda na Boda boda mwenyewe dukani 🤣🤣🤣! Tena sio duka la hapo gereji
Ukiwaachia gari kwenda kufata spare dukani wanatoa kifaa kizima, then wanakuchomekea kifaa kibovu, ukirudi unakutana na stori mpya tenaMafundi hawana maana kmmmk, siku ambayo walininunulisha Oil ya litre 1 sh.15,000 wakati inauzwa 10K niliacha mchezo nao.
Wafungue kifaa kibovu wanipe naenda na Boda boda mwenyewe dukani [emoji1787][emoji1787][emoji1787]! Tena sio duka la hapo gereji
Nayo sio mbayaKwamba kajifunza kitu[emoji23][emoji23][emoji23]
Miezi miwili utakuwa umejua kitu gani?Nayo sio mbaya
Mwenzio mwaka mpya nataka kuagiza gari mpya, but be4 this, hii miezi miwili iliyobaki nataka nikae na rafiki yangu pale NIT, anipige brush kuhusu kifaa cha gari kikiharibika, huu mtumba mpya ukiingia bongo nakuwa expert sikanyagi kwa fundi tena, zaidi ya kufungua nut na kupachika kifaa kipya
Ntajua bana acha kunikatisha tamaa, mpaka ss hivi mbona kuna vitu vingi navijua so naenda kujazilizia palipopungua mkuuMiezi miwili utakuwa umejua kitu gani?
Wenzio wanasugua garage miaka 5 na bado wanachemka..
Mambo?Ntajua bana acha kunikatisha tamaa, mpaka ss hivi mbona kuna vitu vingi navijua so naenda kujazilizia palipopungua mkuu
Ntajua bana acha kunikatisha tamaa, mpaka ss hivi mbona kuna vitu vingi navijua so naenda kujazilizia palipopungua mkuu
Poa!Mambo?
Hatimaye mwamba ametukutanisha hapa tena[emoji28]Kwamba kajifunza kitu[emoji23][emoji23][emoji23]
[emoji28][emoji28][emoji28][emoji28][emoji28][emoji28][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Ila kajitahidi, mwanaume wa dar huwa hawagusagi hivyo vitu, grisi? Hell no