Aisee kumiliki gari kumbe gharama hivi? Nimetumia 505,000/= kufanya service!!

[emoji28][emoji28][emoji28][emoji28][emoji28][emoji28][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Ila kajitahidi, mwanaume wa dar huwa hawagusagi hivyo vitu, grisi? Hell no
Kwamba kajifunza kitu😂😂😂
 
Umepigwa kwenye oil sill Ni elf tano
 
Mafundi hawana maana kmmmk, siku ambayo walininunulisha Oil ya litre 1 sh.15,000 wakati inauzwa 10K niliacha mchezo nao.

Wafungue kifaa kibovu wanipe naenda na Boda boda mwenyewe dukani 🤣🤣🤣! Tena sio duka la hapo gereji
Hiyo ndio kabali yao,jamaa hawanaga huruma aisee 😀
 
Ukiwaachia gari kwenda kufata spare dukani wanatoa kifaa kizima, then wanakuchomekea kifaa kibovu, ukirudi unakutana na stori mpya tena

Mimi nawaitaga nyumbani na ni baada ya kufanya whole check up ya gari youtube, then namwambia tatizo..
 
Kwamba kajifunza kitu[emoji23][emoji23][emoji23]
Nayo sio mbaya

Mwenzio mwaka mpya nataka kuagiza gari mpya, but be4 this, hii miezi miwili iliyobaki nataka nikae na rafiki yangu pale NIT, anipige brush kuhusu kifaa cha gari kikiharibika, huu mtumba mpya ukiingia bongo nakuwa expert sikanyagi kwa fundi tena, zaidi ya kufungua nut na kupachika kifaa kipya
 
Hayo ndiyo matatizo ya kuendesha gari huku ikiwa unahitaji service na mwisho wa siku utatumia pesa nyingi kwasabb gari sikuzote kitu kimoja kikiharibika basi na kingine kitafuata,
Hivyo vitu ulivyoorodhesha ni Ile Hali ya kukaa na ugonjwa Kwa muda mrefu matokeo yake ndiyo hayo unakuja kutumia pesa nyingi
 
Miezi miwili utakuwa umejua kitu gani?
Wenzio wanasugua garage miaka 5 na bado wanachemka..
 
Mlolongo nakumbuka ulinifata inbox ukihitaji gari nakumbuka nilikutumia picha zake ukasema gari Yangu ni Carina ti ni ya kizamani,sasa sijui umepigwa gari tena ambayo umeanza kutumia pesa kiasi hicho...
Mkuu hiyo gari yako umenunua ya Aina gani?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…