Aisee! kuna Magari mazuri sana duniani

Aisee! kuna Magari mazuri sana duniani

Sijaona TOYOTA CENTURY
FB_IMG_1737401274569.jpg
 
Hamna anayependa kuendesha kibunju ila ni bunda tu ndio tatizo.
Kweli mzee maana hata gari inayonivutia hapo sijawahi kuiona nchi hii.
Hali ya maisha inafanya watanzania wachache tu ndio waweze kuendesha aina mojawapo ya magari haya mazuri.
Na hat! Hizi subaru,ist n.k ni gari nzuri tu lakini si za kipekee, kwa maana kwenye foleni moja yenye gari 20 kutakuwa na gari aina tatu tu au nne zinazofanana.
 
Back
Top Bottom