Huo moto wa hatari sanaa mzee.. ๐ฅ๐ฅHIyo ya chini ndio roho yangu ilipo
Upo wapi niwe nakupitia thรฉ realWakaka mnunue basi ๐ tukae mbele ๐คช
Chuma 0-100 inatembea kwa second 1.666 ๐ฅ๐ฅ๐ฅNoma sana mzee...hiyo mashine ni balaa
Na ww tukae nyuma[emoji23][emoji23]Wakaka mnunue basi [emoji28]tukae mbele [emoji2957]
Hamna anayependa kuendesha kibunju ila ni bunda tu ndio tatizo.kaka Una kaanga Sana๐
SRT Jini ๐คฃChuma 0-100 inatembea kwa second 1.666 ๐ฅ๐ฅ๐ฅView attachment 3208067
Kweli mzee maana hata gari inayonivutia hapo sijawahi kuiona nchi hii.Hamna anayependa kuendesha kibunju ila ni bunda tu ndio tatizo.
Fala sana wewe Dada.Wakaka mnunue basi ๐ tukae mbele ๐คช
Mchawi ni TRA !!!Nashangaa road tumejaza wish, vanguard,ist ,forester na crowns, kumbe gari zipo aina nyingi namna hii?