kina kirefu
JF-Expert Member
- Dec 14, 2018
- 15,188
- 18,583
rara rereMember mwenyewe ndio huyu hapa sijui ni nani huyu
View attachment 3029602
Yuko vizuri, bahati mbaya sijawahi ona hata comment yake yeye ni mwendo wa likes tu, na hata hii najua ata'like.Huyo raraa ree yaani anagawa like kama katumwa vile.nahisi ni mod humu
Embu jaribu kumtusi tuone atajibu au ata-like tuYuko vizuri, bahati mbaya sijawahi ona hata comment yake yeye ni mwendo wa likes tu, na hata hii najua ata'like.
Sio watoa likes Zamani alikua Mkwepu jr saivi raraa re kweli !??
Mtukufu PhD Mbaga.Nimelia sana aisee 😭
Dah 😂😂Mtukufu PhD Mbaga.
Tanzanian Elite......The man with well n organized intellectual Arsenal's.
Nakukubali Sana mwanangu😁
View attachment 3030573
Hapo kasoma uzi mrefu mpaka usingizi umemchukuaMtukufu PhD Mbaga.
Tanzanian Elite......The man with well n organized intellectual Arsenal's.
Nakukubali Sana mwanangu😁
View attachment 3030573