Aisee kuna mtu nambembeleza huku chakula hakipiti

Aisee kuna mtu nambembeleza huku chakula hakipiti

Vijana wa kizazi hichi ni dhaifu sana lakini ni wabishi na wamejaa ujuaji kupitiliza.

Unaweza kuta huyo jamaa kuna watu walisha mtonya kuhusu huyo kahaba akaishia kuwakejeri kuwa wanamuonea wivu kisa anamiliki demu mzuri.
 
Kweli kabisa alishaambiwaga na jamaa flani hivi akamtukana juzi juzi tu akaona jamaa kama anamuonea wivu
Vijana wa kizazi hichi ni dhaifu sana lakini ni wabishi na wamejaa ujuaji kupitiliza.

Unaweza kuta huyo jamaa kuna watu walisha mtonya kuhusu huyo kahaba akaishia kuwakejeri kuwa wanamuonea wivu kisa anamiliki demu mzuri.
 
Back
Top Bottom