Aisee kuna wanaume wavivu

Aisee kuna wanaume wavivu

IMG-20230311-WA0004.jpg
IMG-20230311-WA0003.jpg

Dejane unajua huyu Nakadori hataki kusema anachokitaka😬😬🤣🤣🤣
 
Waungwana salama,

Yani week nzima unajiandaa kula tunda na mwenza wako halafu anakuja anakupa kifo cha mende kimoja (style ya mvivu) chaliii amelala hadi asubuhi nguvu hana tena..... unahangaika weee kumuamsha ndo ashalegea hvyoo yani bao moja na kulala fofofo.

Naomba mnielewe yanii anapokojoa anahema vibaya na kuishiwa nguvu kabisa na usingizi juu kwa juu unambeba hadi ninamtikisa kuona kama bado uhai upo au ndo nimeua....

Hebu tafuteni mkongo muongeze hzo nguvu.

Nasubiri mawe yangu mnipopoe nimekaa paleee
Watukanaji mje na matusi mapya
Njoo kwangu nikupige nao la nusu dakika
 
Back
Top Bottom