Kinyonge sanaHahahaha
Kbababake yani ile anapiga kelele aiiiiiiiiiiiiiiii haaaaaaaaa akishuka analala hapo hapo kifuani. Nataman nimsukumie huko shenzyy
Kwa waume zao wana pretend ivo ila ukiwakuta kwenye ndondo hao wife material shoo zao ni mguu wa shingo mguu wa rohoWife material ndo huwa hawataki shoo shoo
Dakika tatu zote za nini? Mie nilishasema ni 2min x 3 basi sijichoshiHii mada bila mzabzab haijakamilika asee
Na wewe si unasema ni Mzee wa dk 3
@Dejane alisema hapa jana(kama sijasahau) inatakiwa tupige kamoja ambacho ni sawa na viwili.Waungwana salama,
Yani week nzima unajiandaa kula tunda na mwenza wako halafu anakuja anakupa kifo cha mende kimoja (style ya mvivu) chaliii amelala hadi asubuhi nguvu hana tena..... unahangaika weee kumuamsha ndo ashalegea hvyoo yani bao moja na kulala fofofo
Hebu tafuteni mkongo muongeze hzo nguvu.
Nasubiri mawe yangu mnipopoe nimekaa paleee
Watukanaji mje na matusi mapya
Hata kama ni wewe unaweza kukimbia umbali wote huo usipumzike? 🤣😅😅😅😅😅😅😅😅
Ishi sana yani😀Hahaha
Ila siku nikifa mtani miss sana kwa huu ujinga wangu
Au both team to scoreKila mtu ashinde mechi zake
Kama hapa nawaza pesa ya kulipia frem mwezi ujao halafu bado niweze kusimamia 40mins kweli??Hahahaha jaribuni kutuliza japo akili
Unataman hata umchape Fimbo sema ndo bas tena
Hahahah ndio hivyo acha jenereta iwake 🤣Hahahahaha lazma ukifika utafute kitanda
Wataalamu wanasema hicho kimoja ni sawa na kutembea Kilomita 40 kwa mguu muwe na huruma wakati mwingine.Mjirekebishee
Ukija Kwa Babu utampenda Tena Kuna mawili ana shida ya ugonjwa wa azinaa suguu Sasa zile bacteria zimeshaadhiri sehemu ya kuperform,so anakuwa anachoka na hawezi perform sanaa maana bacteria Ina kula tu maji nakutengeneza fungus naa lazima ukisha sex naye lazimautajisikia vibaya huenjoy mtu mwenye afya after sex unafeel good.Tatizo nguvu kidogoo
Mie la pili mbona ndani ya dakika 10 tayari nilisharudi kifua i kwakoHahahqha alaf la pili unatafuta saa ngap?