Aisee kuna wanaume wavivu

Aisee kuna wanaume wavivu

Waungwana salama,

Yani week nzima unajiandaa kula tunda na mwenza wako halafu anakuja anakupa kifo cha mende kimoja (style ya mvivu) chaliii amelala hadi asubuhi nguvu hana tena..... unahangaika weee kumuamsha ndo ashalegea hvyoo yani bao moja na kulala fofofo

Hebu tafuteni mkongo muongeze hzo nguvu.

Nasubiri mawe yangu mnipopoe nimekaa paleee
Watukanaji mje na matusi mapya
@Dejane alisema hapa jana(kama sijasahau) inatakiwa tupige kamoja ambacho ni sawa na viwili.

NB: Tendo la kunyanduana ni sawa na mchezo wa drafti, kila upande inabidi uwe tayari kwa mashambulizi ili mchezo unoge
 
Lishe duni

Mtu anatwanga mapombe hali vyakula bora unategemea nini

Mazoezi hawafanyi ukizingatia anaenda kazini amekaa kwa gari akifika ofisini anakaa kurudi home anapitia bar anatwanga bia anarudi analala hizo nguvu atatoa wapi
 
Tatizo nguvu kidogoo
Ukija Kwa Babu utampenda Tena Kuna mawili ana shida ya ugonjwa wa azinaa suguu Sasa zile bacteria zimeshaadhiri sehemu ya kuperform,so anakuwa anachoka na hawezi perform sanaa maana bacteria Ina kula tu maji nakutengeneza fungus naa lazima ukisha sex naye lazimautajisikia vibaya huenjoy mtu mwenye afya after sex unafeel good.

Kingine ni kutokuwa tu na nguvu nani asili Yao au yake Huwa mlegevu na kumpatisha mtu mimba nayo ni kazi, ingine umri huchangia mtu kuwa mvivu haya yote Babu anatibu vyema
 
Back
Top Bottom