Rais pia alifanya mazungumzo ma kamanda mkuu wa jeshi la china, Mchina amefanya propasal ya kuwa na naval base yake hapo bandarini lamu, kama ile ya djibouti waliyoizindua hivi majuzi. Watakuwa na manowari na nyambizi zao hapo lamu kama protection force ya meli zao.
View attachment 577164View attachment 577166