Aisee machawa wanakula kwa taabu sana

Aisee machawa wanakula kwa taabu sana

Mwamuzi wa Tanzania

JF-Expert Member
Joined
Apr 7, 2020
Posts
15,486
Reaction score
45,256
Wiki iliyopita kuna jamaa kapatwa na kamsala kadogo. Sasa Mimi nikawa namfariji, nikamweka karibu kuliko siku za awali kabla ya shida.

Jamaa akaniita nimsindikize alipopaki gari yake akafungua mlango akatoa shekeli akanipa.

Kumbe machawa ndo wanapata shida kiasi hichi daaahh 😭😭😭.

Muda wote uunge mkono analotaka mtu mwenye pesa, umsifie, umtukuze, ujione wewe humzidi kitu hata kama umemzidi jambo fulani. Machawa wanateseka 🤣🤣🤣.

Lengo lilikuwa kumfariji tu sikuhitaji chochote kwake although kwa kipindi kile nilikuwa nina kauhitaji kidogo.

Machawa wanapitia magumu sana, wanawake mnaokula pesa za machawa Mungu anawazoom
 
Wiki iliyopita kuna jamaa kapatwa na kamsala kadogo. Sasa Mimi nikawa namfariji, nikamweka karibu kuliko siku za awali kabla ya shida.

Jamaa akaniita nimsindikize alipopaki gari yake akafungua mlango akatoa shekeli akanipa.

Kumbe machawa ndo wanapata shida kiasi hichi daaahh 😭😭😭.

Muda wote uunge mkono analotaka mtu mwenye pesa, umsifie, umtukuze, ujione wewe humzidi kitu hata kama umemzidi jambo fulani. Machawa wanateseka 🤣🤣🤣.

Lengo lilikuwa kumfariji tu sikuhitaji chochote kwake although kwa kipindi kile nilikuwa nina kauhitaji kidogo.

Machawa wanapitia magumu sana, wanawake mnaokula pesa za machawa Mungu anawazoom
ChoiceVariable
Lucas Mwashambwa
Mna lolote lakuongeza?
Halafu mbona machawa wengi wanatokea mikoa ya Nyanda za juu kusini? Nadra Sana kupata chawa kutoka Marangu au Arusha mjini.
(Wadudu sio chawa)
 
Hizo kazi muachie Manara,Baba Levo,Mwijaku,Doto Magari na majinga majinga mengine ya aina hiyo.
 
Back
Top Bottom