Mwamuzi wa Tanzania
JF-Expert Member
- Apr 7, 2020
- 15,486
- 45,256
Ahahahahh 🤣 🤣 🤣Mwanzo wa kazi huwa mgumu ila ukiendelea mpaka uwe chawa promax mbona siyo kazi
Endelea na kazi kiongozi
We mgonjwa hebu soma hapa kama utaelewaLengo lilikuwa kumfariji tu sikuhitaji chochote kwake although kwa kipindi kile nilikuwa nina kauhitaji kidogo.
Haujamuelewa tu.Alikua hapendi kula maharage.Ila,walipomletea mchuzi wake,aliunywa hivyohivyo. 😂We mgonjwa hebu soma hapa kama utaelewa
Magufuli enzi zake. Mawaziri na viongozi wengine walikuwa wanacheka hata kwa jambo la kijinga, linalohitaji kukasirika.Usiombe achekeshe alafu usicheke! Ukatafute pa kula
Kuna kipindi niliingia mkora, chupuchupu niwe chawa. Maofisi ya private huu ugonjwa sugu, watu wanalinda kaz zao kwa uchawaMagufuli enzi zake. Mawaziri na viongozi wengine walikuwa wanacheka hata kwa jambo la kijinga, linalohitaji kukasirika.
😂😂Haujamuelewa tu.Alikua hapendi kula maharage.Ila,walipomletea mchuzi wake,aliunywa hivyohivyo. 😂
Kivip mkuuMachawa saiv hawaishii tu kumsifia boss, wamejiongeza wanatoa mpka huduma ya choo boss akitaka🤒
ChoiceVariableWiki iliyopita kuna jamaa kapatwa na kamsala kadogo. Sasa Mimi nikawa namfariji, nikamweka karibu kuliko siku za awali kabla ya shida.
Jamaa akaniita nimsindikize alipopaki gari yake akafungua mlango akatoa shekeli akanipa.
Kumbe machawa ndo wanapata shida kiasi hichi daaahh 😭😭😭.
Muda wote uunge mkono analotaka mtu mwenye pesa, umsifie, umtukuze, ujione wewe humzidi kitu hata kama umemzidi jambo fulani. Machawa wanateseka 🤣🤣🤣.
Lengo lilikuwa kumfariji tu sikuhitaji chochote kwake although kwa kipindi kile nilikuwa nina kauhitaji kidogo.
Machawa wanapitia magumu sana, wanawake mnaokula pesa za machawa Mungu anawazoom
Akina mwijaku, baba levo ni wa nyanda za juu kusini au siyoChoiceVariable
Lucas Mwashambwa
Mna lolote lakuongeza?
Halafu mbona machawa wengi wanatokea mikoa ya Nyanda za juu kusini? Nadra Sana kupata chawa kutoka Marangu au Arusha mjini.
(Wadudu sio chawa)
Lolote ni 🚮🚮🚮ChoiceVariable
Lucas Mwashambwa
Mna lolote lakuongeza?
Halafu mbona machawa wengi wanatokea mikoa ya Nyanda za juu kusini? Nadra Sana kupata chawa kutoka Marangu au Arusha mjini.
(Wadudu sio chawa)