Saint Ivuga
JF-Expert Member
- Aug 21, 2008
- 54,762
- 59,204
UbarikiweNendeni mkasali
πππAcha wamfundishe watu wanazaa watoto wa nje na maisha yanasonga yeye alotaka kutoa ushahidi wa video toka kwich kwichi mimba hadi kuzaa aendelee
Zile nguo anazovaa sasa hivi mama madini ni kubwa kubwa na pana pana labda ni joto la Dar, time will tell.πππ
Tunamsubiri mtoto wa taifa mwingine kutoka kwa mamaa madini, sijui ni kweli make mange kasema.
Watu wana mimba ya prezidenti wapo kimya
WOTE AU WENGI WETU MWANZO TULIKUWA UPANDE WA HAMISA HATA NDUGU WA DIAMOND WOTE ILA ALIPOANZA KUWAITA WATU NA SHILAWADU KUWAPIGA PICHA KISIRI NA KUANZA KUTANGAZA KINYUME NA MAKUBALANO HAPO NDIO SHIDA ILIANZA.HATA WEWE UNGEKASIRIKAKama unafahamu kua hakuna mpiga kelele kama wewe atayetongozwa na Diamond akakataa yanini sasa mumasakame Hamisa? Mnamuita majina meengi kosa lake ni kutongozwa na kumkubali au kuzaa nae na kuweka wazi? Mwanzo mlianza kwa kumuita ana mimba isiyo na baba alipochoka kuwavumilia akaanika baba wa mtoto mmemgeuzia kibao mnamuita mshamba na washauri kibao mkaibuka kua anapotezwa kwa kumuanika hadharani baba wa mtoto wake !! Hebu tumpumzishe mwanamke mwenzetu tumkemee huyu Zipu mbovu jamani lol
Sasa jamani kwa nini walitaka mtoto awe siri ?Mimi naona ni bora tu ilivyojulikana.Maana hadi zari alikuwa anaandika kuwa Dully siyo mtoto wa Diamond.Hata kama ni wewe ungependa mwanao anyonywe kwenye social media kuwa hana baba mara ni wa Majizzo.Dili ilikuwa akae kimya wakati wana angalia upepo. Hamisa alilikoroga alivyoanza kuwarusha insta, yeye alikuwa ana fight mwanae awe recognised kama Tiffa na Nillan
Haya ndiyo matatizo ya Zari na shins wa kuwa lady kwenda kuweka vitu kwenye social mediaSasa jamani kwa nini walitaka mtoto awe siri ?Mimi naona ni bora tu ilivyojulikana.Maana hadi zari alikuwa anaandika kuwa Dully siyo mtoto wa Diamond.Hata kama ni wewe ungependa mwanao anyonywe kwenye social media kuwa hana baba mara ni wa Majizzo.
Una uhakika aliwaita? Au kwa kua mdomo ni Mali yako una Uhuru kuongea? Watanzania tuache vilomo lomo na ujuaji mwingi, ikumbukwe kua hawa watu walikua wakifuatiliwa na Media kwa ukaribu zaidi hivyo sio kila alalamikacho Diamond ndivyo kilivyo kwamba Diamond alivyosema ni shetani basi wote tuamini kua ni shetani! Diamond aliposema Hamisa kawaita Shilawadu basi wote tuamini huu ni wehu wa hali ya juu kwa kweli, kikubwa mama Diamond anampoteza mtoto wake yeye kama mtu mzima alitakiwa kumkanya mwanae mapema sana na si kumsapoti katika ujinga anaoufanya sasa, huyu mama hakumbuki mateso yake aliyoyapata katika malezi ya u single mother aliyomlea mwanae bila msaada wa Mzee AbdulWOTE AU WENGI WETU MWANZO TULIKUWA UPANDE WA HAMISA HATA NDUGU WA DIAMOND WOTE ILA ALIPOANZA KUWAITA WATU NA SHILAWADU KUWAPIGA PICHA KISIRI NA KUANZA KUTANGAZA KINYUME NA MAKUBALANO HAPO NDIO SHIDA ILIANZA.HATA WEWE UNGEKASIRIKA
Akii hii nayo yaweza kua kweli [emoji1] [emoji1] maana hata la Hamisa lilianza kulopokwa na Mange, ngoja tuone tujifunze kubeba manii kwa njia ya SMS toka Chinaπππ
Tunamsubiri mtoto wa taifa mwingine kutoka kwa mamaa madini, sijui ni kweli make mange kasema.
Watu wana mimba ya prezidenti wapo kimya
HATA SHEREHE JUZI KAWAITA SHILAWADU ANGALIA YOUTUBE NA WALISEMA WENYEWE,TOFAUTISHA ZARI TANGU AMEKUJA KAROPOKA CHOCHOTEUna uhakika aliwaita? Au kwa kua mdomo ni Mali yako una Uhuru kuongea? Watanzania tuache vilomo lomo na ujuaji mwingi, ikumbukwe kua hawa watu walikua wakifuatiliwa na Media kwa ukaribu zaidi hivyo sio kila alalamikacho Diamond ndivyo kilivyo kwamba Diamond alivyosema ni shetani basi wote tuamini kua ni shetani! Diamond aliposema Hamisa kawaita Shilawadu basi wote tuamini huu ni wehu wa hali ya juu kwa kweli, kikubwa mama Diamond anampoteza mtoto wake yeye kama mtu mzima alitakiwa kumkanya mwanae mapema sana na si kumsapoti katika ujinga anaoufanya sasa, huyu mama hakumbuki mateso yake aliyoyapata katika malezi ya u single mother aliyomlea mwanae bila msaada wa Mzee Abdul
Na roho inawauma kweli kweli ! Hakutarajia kama sherehe itafanyika masikiniHATA SHEREHE JUZI KAWAITA SHILAWADU ANGALIA YOUTUBE NA WALISEMA WENYEWE,TOFAUTISHA ZARI TANGU AMEKUJA KAROPOKA CHOCHOTE
Makinikia Jr anakujaAkii hii nayo yaweza kua kweli [emoji1] [emoji1] maana hata la Hamisa lilianza kulopokwa na Mange, ngoja tuone tujifunze kubeba manii kwa njia ya SMS toka China
Anavaa pana mtoto apate upepo tehZile nguo anazovaa sasa hivi mama madini ni kubwa kubwa na pana pana labda ni joto la Dar, time will tell.
HaahhHaahHaahahhhqah teeenaaaπππ
Tunamsubiri mtoto wa taifa mwingine kutoka kwa mamaa madini, sijui ni kweli make mange kasema.
Watu wana mimba ya prezidenti wapo kimya
Mama Huyu kigeu geu ana chuki mbaya mnoo wema kashamnafikiaHapa tusisahau kwamba, zamani familia ya Diamond ilikuwa upande wa Hamisa! Unachotakiwa kujiuliza ni kwanini hivi sasa wamemgeuka?!!
Hapo kabla Hamisa hakuwa maarufu kihivyo na ndio maana wapo wanaofikia kusema eti na LLB ya UDSM kwavile hawamfahamu vizuri!! Na kwavile umaarufu wake ulikuwa ni wa kawaida tu, mambo yake ya chinichini watu walikuwa hawayafahamu!!!
Ngoja aendelee ku-trend ndipo utakuja kufahamu kwanini wanafamilia wale wale waliokuwa wanamuunga mkono hivi sasa wamemtupa mkono!!!
Na uzuri wa Waswahili hawana mambo ya ku-pretend! Ukiwazingua; wanakuzingua!!!