Aisee mama diamond apunguze vijembe kwa hamisa hakuna aijuaye kesho.

Tumekuelewa shangazi yake Diamond
 
Alipokosea Hamisa ni kushare news na Mange Kimambi...hapo Tu.Hata kama unafight kwa ajili ya mwanao mange anamchukia Diamond mnoo si wa kumpa habari ili atoe.Tena utoto kabsa Mange anampa celeb chronicles na anaongea isionekane Hamisa katoa yeye.
Jana kajifanya hacked lakini Mcity kulijaa kinoma noma
 
Naona Hamissa umechoshwa na vijembe vya mama mkwe.. Teeh.. Polee
 
Kama mama mzazi hakuna ulazima wa kupick side hata kama but usioneshe sasa mpk na watu tukajua upo upande gani.....to be honest anaboa.
Kweni huyo mobeto ni mke wa harali wa D au mwizi mwenye kutaka kuvunja ndoa za watu?yaani mwizi nae atambuliwe au yule mama amtambue mwizi shenzi kweli nyie mnaosema eti mama asiwe na upande ,Zar ndo mke halali na ndo mwinga wa huyo mama mnataka kumfanya mama wa watu awe pumbavu kama mlivyo manyang'au nyie?malaya bwaba ni watu wa ajabu ila kuna mtaalam mmoja wa afya alisema wanawake walioanza mapenzi(umalaya) wangali bado wadogo akili zao huwa c sawa,nyinyi ni bata kila muda kunya mapumbavu eti asiwe na upande yaani mwizi (mobeto) toka lini akawa rafiki wa jamii kwendeni kule wanuka makwapa nyie.
 
Domo mwenyewe kasha clear kuwa bado hajaoa sasa ww na domo tumuamin nani.....
 
Unataka kutuambia kua Angela Kairuki nae ka Share news na mange? Maana si kwa mapazia Yale anayovaa
 
Domo kautangazia umma kuwa hajaoa....so tumwamin nani sasa kati ya ww na domo.
 
Zari yupo juu kila mtu anajipendekeza kwake.

Tangu zari atue bongo media zote ni zari zari,haters na mashosti wanamtaja zari mara mia.

Ikikuuma chomoaaa
Nilitaka kujimurder....ukose hapa[emoji23] [emoji23] [emoji23]
 
Unakua ukijua wewe ni goli lililokatalika mpaka ushahidi ulipowekwa wazi, bibi yako hampendi mama yako na dada/kaka zako hawapatani na mama yako!...Very bad
Maskini Dylan sijui Prince Dee .....maana mtoto ana majina mengi kama hela[emoji86] [emoji86] [emoji86]
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…