Aisee mama diamond apunguze vijembe kwa hamisa hakuna aijuaye kesho.

Aisee mama diamond apunguze vijembe kwa hamisa hakuna aijuaye kesho.

Kwa kweli huyu mama anahitaji washauri maana navoona hana mshauri mzuri, ni mama mtu mzima but mambo anayofanya na kupost kwny acc yake ya IG haya aksi kabisa umri wake. Amekuwa mtu wa vijembe na dharau kwa upande wa pili (hamisa) na kashajidhihirisha kabisa kachagua upande, hofu yangu ni kuwa je anauhakika na anachokifanya asa iv maana tyar ashaanza kujenga chuki kwa mtt wa hamisa na mama je siku moja mtt akikua na kusimuliwa itakuwaje, kitu kingne hakuna aijuaye kesho huyu anayemuona siyo kitu kisa mama ake maskini huwez jua kesho yake mambo yanabadilika, akashitukia dylan ndo anakuja kuwa ndo mkomboz wake kina tiffa anaowashobokea wakawa hawana time naye. Ushauri maisha siyo pesa tu kuna maisha nje ya pesa na mali unayemdhalau leo huwezi jua kesho yake aacha kuchagua upande na ikiwezekana apunguze vijembe maana anataka kuwa kama yeye ndo zari (mke mwenza) mama ana gubu utafikiri mtt mdogo. Mama ushakuwa mtu mzima kaa lea wajukuu zako achana na maswala ya mitandaoni kwa ushaanza kuboa sasa.

Diamond najua mnapitaga kwenye haya majukwaa mwambie mama ako mitandao inampeleka siko maana mpk anapost viben ten vyake IG anakuaibisha, mbona ma mama wa ma star wenzio hawana izi mambo. Na apunguze gubu kwa hamisa imekuwa vijembe kila siku mpk anakera sasa, ashakuwa mtu mzima ni mda wa kukaa chini na kulea wajuu maswala ya insta amwachie Esma.
Tumekuelewa shangazi yake Diamond
 
Alipokosea Hamisa ni kushare news na Mange Kimambi...hapo Tu.Hata kama unafight kwa ajili ya mwanao mange anamchukia Diamond mnoo si wa kumpa habari ili atoe.Tena utoto kabsa Mange anampa celeb chronicles na anaongea isionekane Hamisa katoa yeye.
Jana kajifanya hacked lakini Mcity kulijaa kinoma noma
 
Naona Hamissa umechoshwa na vijembe vya mama mkwe.. Teeh.. Polee
 
Kama mama mzazi hakuna ulazima wa kupick side hata kama but usioneshe sasa mpk na watu tukajua upo upande gani.....to be honest anaboa.
Kweni huyo mobeto ni mke wa harali wa D au mwizi mwenye kutaka kuvunja ndoa za watu?yaani mwizi nae atambuliwe au yule mama amtambue mwizi shenzi kweli nyie mnaosema eti mama asiwe na upande ,Zar ndo mke halali na ndo mwinga wa huyo mama mnataka kumfanya mama wa watu awe pumbavu kama mlivyo manyang'au nyie?malaya bwaba ni watu wa ajabu ila kuna mtaalam mmoja wa afya alisema wanawake walioanza mapenzi(umalaya) wangali bado wadogo akili zao huwa c sawa,nyinyi ni bata kila muda kunya mapumbavu eti asiwe na upande yaani mwizi (mobeto) toka lini akawa rafiki wa jamii kwendeni kule wanuka makwapa nyie.
 
Kweni huyo mobeto ni mke wa harali wa D au mwizi mwenye kutaka kuvunja ndoa za watu?yaani mwizi nae atambuliwe au yule mama amtambue mwizi shenzi kweli nyie mnaosema eti mama asiwe na upande ,Zar ndo mke halali na ndo mwinga wa huyo mama mnataka kumfanya mama wa watu awe pumbavu kama mlivyo manyang'au nyie?malaya bwaba ni watu wa ajabu ila kuna mtaalam mmoja wa afya alisema wanawake walioanza mapenzi(umalaya) wangali bado wadogo akili zao huwa c sawa,nyinyi ni bata kila muda kunya mapumbavu eti asiwe na upande yaani mwizi (mobeto) toka lini akawa rafiki wa jamii kwendeni kule wanuka makwapa nyie.
Domo mwenyewe kasha clear kuwa bado hajaoa sasa ww na domo tumuamin nani.....
 
Alipokosea Hamisa ni kushare news na Mange Kimambi...hapo Tu.Hata kama unafight kwa ajili ya mwanao mange anamchukia Diamond mnoo si wa kumpa habari ili atoe.Tena utoto kabsa Mange anampa celeb chronicles na anaongea isionekane Hamisa katoa yeye.
Jana kajifanya hacked lakini Mcity kulijaa kinoma noma
Unataka kutuambia kua Angela Kairuki nae ka Share news na mange? Maana si kwa mapazia Yale anayovaa
 
Kweni huyo mobeto ni mke wa harali wa D au mwizi mwenye kutaka kuvunja ndoa za watu?yaani mwizi nae atambuliwe au yule mama amtambue mwizi shenzi kweli nyie mnaosema eti mama asiwe na upande ,Zar ndo mke halali na ndo mwinga wa huyo mama mnataka kumfanya mama wa watu awe pumbavu kama mlivyo manyang'au nyie?malaya bwaba ni watu wa ajabu ila kuna mtaalam mmoja wa afya alisema wanawake walioanza mapenzi(umalaya) wangali bado wadogo akili zao huwa c sawa,nyinyi ni bata kila muda kunya mapumbavu eti asiwe na upande yaani mwizi (mobeto) toka lini akawa rafiki wa jamii kwendeni kule wanuka makwapa nyie.
Domo kautangazia umma kuwa hajaoa....so tumwamin nani sasa kati ya ww na domo.
 
Zari yupo juu kila mtu anajipendekeza kwake.

Tangu zari atue bongo media zote ni zari zari,haters na mashosti wanamtaja zari mara mia.

Ikikuuma chomoaaa
Nilitaka kujimurder....ukose hapa[emoji23] [emoji23] [emoji23]
 
Unakua ukijua wewe ni goli lililokatalika mpaka ushahidi ulipowekwa wazi, bibi yako hampendi mama yako na dada/kaka zako hawapatani na mama yako!...Very bad
Maskini Dylan sijui Prince Dee .....maana mtoto ana majina mengi kama hela[emoji86] [emoji86] [emoji86]
 
Back
Top Bottom