Aisee! Mastaa hawa 10 walishikwa mkono wakajibeba kabisa...

Aisee! Mastaa hawa 10 walishikwa mkono wakajibeba kabisa...

Ahahah "sisi madirector hatuna"
Niliangalia my number one ya Rayvanny , nikasema hv director wimbo upo wazi kama huu unashindwaje kuutendea Haki aisee , hakuna kitu kabisa mle ,ni scene ya mwisho Tu ndo ipo interesting ...... Unawapeleka watu kwenye manyasi aaaah
 
Niliangalia my number one ya Rayvanny , nikasema hv director wimbo upo wazi kama huu unashindwaje kuutendea Haki aisee , hakuna kitu kabisa mle ,ni scene ya mwisho Tu ndo ipo interesting ...... Unawapeleka watu kwenye manyasi aaaah
[emoji1787][emoji1787]sema we jamaa unakanyagia kishenzi
 
S2kizzy mwenyewe anafanya kazi sehemu moja tu siku hizi.

Mara nyingi studio ndio zinabebwa na wasanii na ndio maana wasanii hasa wakubwa wana kiburi, studio nyingi wanarekodi bure.

Producer akiwadai pesa wanahama.

Weusi walihama The Industry wakaenda kwa Luffa.

Alikiba alihama Combination akaenda kwa Moco Genius.

Diamond alikuwa anafanya kazi na Sheddy clever, tangu ampige chini nae kapotea. Kuna kipindi alitaka kusimamia wasanii chini studio yake lakini mpaka leo bila bila.

Lamar yupo na studio yake hata haina kazi.

Kazi ya production bongo bado hailipi wala kuheshimika. Producers wanaishi kwa hisani ya msanii.

Bora hata maDJ wameanza kujiongeza.
The industry daah nahreel aliongea kwa uchungu sana kwenye yale mahojiano ila naona wamemrudia wakatoa ngoma ya dangerous
 
Kweli kabisa na nadhani jina la s2kizzy linabebwa na kufanya kazi na diamond. Niliona ana wasanii wake sijui wa pluto republic ila sidhani kama sokoni wanafamya vizuri.
Weusi hata bhits waliwahi kuwepo.
The industry nadhani wamebaki zaidi kujitengenezea nyimbo zao sijasikia msanii mkubwa hivi karibuni kagonga nyimbo pale.
Sema maisha ya uproducer bongo ni mafupi sana mtu akihit ajiandae kwa mambo mengine
The industry anapambana mno kuuza biti zake nje ya nchi ila sidhani kama kafanikiwa
 
The industry anapambana mno kuuza biti zake nje ya nchi ila sidhani kama kafanikiwa
Atakuwa labda anauza maana naona yeye na mkewe life lao safi.
Jana niliona S2kizzy kapost kuwa ana kambo leo na CEO wa Belaire siajua jambo gani.
 
Aisee Mabeste sijui alifail wapi maana jamaa nilikuwa nakubali sana anavyochana. Napenda sana ile Ngoma yake aliyomshirikisha tena Jux inayoitwa - Sirudi tena.
Nilikuwa napenda uandishi wake wa kuchanganya kingereza na kiswahili.
RIP Pancho Latino, jamaa alikuwa mkali ila mziki haukumlipa kwa kiasi anachostahili.
Mabester kilichomtupa n kuachana na
Mke wake aiseee zile stress zilimfanya
Akahis kuchanganyikiwa Kama sio kupoteza dira ya muzik
 
Oh, kweli nimekumbuka. Studio uwa zinapanda na kushuka naona sasa anayevuma s2kizzy
Mambo yanabadilika Sana
Kwenye video nako Nisha alivuma Sana
Ila now Kenny ndo na hansicana ndo
Wanavuma
 
S2kizzy mwenyewe anafanya kazi sehemu moja tu siku hizi.
Uongo wa kijinga huu.

Unasema s2kizzy anafanya kazi sehemu moja tu???

Mbona mshikaji anatengeneza kazi za masela kibao tuu.. Underground na mastaa...

Unajua Jux katoa ngoma ngapi kwa s2kizzy

Ngoma za OMG kina Salmin, Mbuzi na wenzie.

Kina Country Wizzy na crew nzima ya RoofTop Ent.

Tuulize watu tulio invest kwenye online ent. platforms tukupe mienendo wa muziki wa Bongo dogo.
 
Uongo wa kijinga huu.

Unasema s2kizzy anafanya kazi sehemu moja tu???

Mbona mshikaji anatengeneza kazi za masela kibao tuu.. Underground na mastaa...

Unajua Jux katoa ngoma ngapi kwa s2kizzy

Ngoma za OMG kina Salmin, Mbuzi na wenzie.

Kina Country Wizzy na crew nzima ya RoofTop Ent.

Tuulize watu tulio invest kwenye online ent. platforms tukupe mienendo wa muziki wa Bongo dogo.
Wewe takataka, mimi nazungumzia S2kizzy wa sasa hivi wewe unaleta stori za tangu yuko Switch.

Hivi unafikiri Wasafi wamemkuta underground siyo?
 
Chidi bezi_mwasiti
Pini linaitwa hao ambalo mwasiti alimhirikisha Chidi benzi na ikawa tiketi ya mwasiti kwenda mjini
 
Back
Top Bottom