Niliangalia my number one ya Rayvanny , nikasema hv director wimbo upo wazi kama huu unashindwaje kuutendea Haki aisee , hakuna kitu kabisa mle ,ni scene ya mwisho Tu ndo ipo interesting ...... Unawapeleka watu kwenye manyasi aaaahAhahah "sisi madirector hatuna"
Sasa kwani kuna msanii gani mwingine wa kumkuta Vanessa ingawa amepumzika muziki? Muache afurahie maisha nje ya muziki. LolVanessa Mdee alikuwa anakimbizana na Diamond Platnumz hadi pale aliponogewa na nyama ya mnigeria ndio ukawa mwisho wa habari yake
Hata hivyo hayupo wa kumkuta ukimtoa domokaya. "Vee money on the truck eeeeh" kwa sauti ya Vanessa.Baada ya kumfanyia figisu mpaka kaamua apumzike kimziki
Hapa kaongelewa Young killer siyo Belle 9Belle 9 alichomoka mwenyewe na hit song "sumu ya penzi" nadhani 2009 and since then akawa anapandishia hit after hit, hiyo dear gambe ilikuja baadae sana
It is childishSasa kwani kuna msanii gani mwingine wa kumkuta Vanessa ingawa amepumzika muziki? Muache afurahie maisha nje ya muziki. Lol
Hii iko wazi kabisaKiukweli Hanscana hana ubunifu wowote. Silaha yake kubwa anayotegemea ni ubora wa Camera
Bm3Makala iko poa kabisa.
Mwandishi ni nani!??
[emoji1787][emoji1787]sema we jamaa unakanyagia kishenziNiliangalia my number one ya Rayvanny , nikasema hv director wimbo upo wazi kama huu unashindwaje kuutendea Haki aisee , hakuna kitu kabisa mle ,ni scene ya mwisho Tu ndo ipo interesting ...... Unawapeleka watu kwenye manyasi aaaah
What is it!?
The industry daah nahreel aliongea kwa uchungu sana kwenye yale mahojiano ila naona wamemrudia wakatoa ngoma ya dangerousS2kizzy mwenyewe anafanya kazi sehemu moja tu siku hizi.
Mara nyingi studio ndio zinabebwa na wasanii na ndio maana wasanii hasa wakubwa wana kiburi, studio nyingi wanarekodi bure.
Producer akiwadai pesa wanahama.
Weusi walihama The Industry wakaenda kwa Luffa.
Alikiba alihama Combination akaenda kwa Moco Genius.
Diamond alikuwa anafanya kazi na Sheddy clever, tangu ampige chini nae kapotea. Kuna kipindi alitaka kusimamia wasanii chini studio yake lakini mpaka leo bila bila.
Lamar yupo na studio yake hata haina kazi.
Kazi ya production bongo bado hailipi wala kuheshimika. Producers wanaishi kwa hisani ya msanii.
Bora hata maDJ wameanza kujiongeza.
The industry anapambana mno kuuza biti zake nje ya nchi ila sidhani kama kafanikiwaKweli kabisa na nadhani jina la s2kizzy linabebwa na kufanya kazi na diamond. Niliona ana wasanii wake sijui wa pluto republic ila sidhani kama sokoni wanafamya vizuri.
Weusi hata bhits waliwahi kuwepo.
The industry nadhani wamebaki zaidi kujitengenezea nyimbo zao sijasikia msanii mkubwa hivi karibuni kagonga nyimbo pale.
Sema maisha ya uproducer bongo ni mafupi sana mtu akihit ajiandae kwa mambo mengine
Atakuwa labda anauza maana naona yeye na mkewe life lao safi.The industry anapambana mno kuuza biti zake nje ya nchi ila sidhani kama kafanikiwa
Mabester kilichomtupa n kuachana naAisee Mabeste sijui alifail wapi maana jamaa nilikuwa nakubali sana anavyochana. Napenda sana ile Ngoma yake aliyomshirikisha tena Jux inayoitwa - Sirudi tena.
Nilikuwa napenda uandishi wake wa kuchanganya kingereza na kiswahili.
RIP Pancho Latino, jamaa alikuwa mkali ila mziki haukumlipa kwa kiasi anachostahili.
Mambo yanabadilika SanaOh, kweli nimekumbuka. Studio uwa zinapanda na kushuka naona sasa anayevuma s2kizzy
Nyimbo tamu Sana hii kwakweli
Flow zake [emoji91]Nyimbo tamu Sana hii kwakweli
Uongo wa kijinga huu.S2kizzy mwenyewe anafanya kazi sehemu moja tu siku hizi.
Wewe takataka, mimi nazungumzia S2kizzy wa sasa hivi wewe unaleta stori za tangu yuko Switch.Uongo wa kijinga huu.
Unasema s2kizzy anafanya kazi sehemu moja tu???
Mbona mshikaji anatengeneza kazi za masela kibao tuu.. Underground na mastaa...
Unajua Jux katoa ngoma ngapi kwa s2kizzy
Ngoma za OMG kina Salmin, Mbuzi na wenzie.
Kina Country Wizzy na crew nzima ya RoofTop Ent.
Tuulize watu tulio invest kwenye online ent. platforms tukupe mienendo wa muziki wa Bongo dogo.