Aisee michezo ya kubahatisha (kubeti) kama huna afya nzuri unaweza ukafa huku unajiona

Aisee michezo ya kubahatisha (kubeti) kama huna afya nzuri unaweza ukafa huku unajiona

Uzuri wa betting ni ngumu upatikane na magonjwa yatokanayo na ngono
😂😂😂 Aise kama hali ya Jana nilikuwa nayo hata pisi ingesaula mbele yangu nisinge dinda kabsa
 
kuna mpuuzi huku kapiga milioni tatu...bila kuweka stake yeyote..hii dunia kweli kuna wenye bahati zao
 
Kuna odds nyingi sana ukitulia unawin na unapata pesa nzuri, acheni tamaa tu.
 

Attachments

  • IMG_3211.png
    IMG_3211.png
    67.5 KB · Views: 19
mwamba huyo hapo
 

Attachments

  • Screenshot 2023-10-09 at 14-21-38 Pawa6 betPawa Tanzania.png
    Screenshot 2023-10-09 at 14-21-38 Pawa6 betPawa Tanzania.png
    6.7 KB · Views: 20
Wengi sana hawawezi kuacha sio peke yako tu, yaani uone kabisa Kwenye live score Napoli yuko pale, Barcelona, Madrid yuko pale, city yuko pale porto, benfica, Lisbon yuko pale aaah! Unaona kabisa utajiri si ndo huu hapa, kumbe unakuta hapo kuna mchawi mmoja tu unaemwamini sana anakudondosha.
Mimi siku hizi sijali kabisa nibeti nisibeti yote sawa tu na nikibeti nastake kidogo tu hata buku ambayo nikiliwa hainifanyi niwaze sana.
Aise me kusema ukweli naona ishaingia kwenye damu especially weekend bila kubet naona sipo normal kabsa but ntaacha tu.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Duuu kapigaje bila stake mkuu
kuna kitu ina itwa pawa 6... unawekewa mechi 6 uzitabiri matokeo sahihi kwa kila mechi..unacheza bila kuweka stake...lakini ukitabiri sahihi unapewa mzigo

mimi niliambulia buku mbili tu kwa sababu nilikuwa mtu wa 2529 nikiwa na point 12
 

Attachments

  • Screenshot 2023-10-09 at 14-27-47 Pawa6 betPawa Tanzania.png
    Screenshot 2023-10-09 at 14-27-47 Pawa6 betPawa Tanzania.png
    3.4 KB · Views: 19
Asikudanganye mtu, kinacholeta presha ni ile kiasi unachoenda kushinda wala sio stake!

Unaweza weka mkeka wa m3,4 nk kwa sh 500 ukawa na presha kubwa kuliko anaeenda kupoteza stake- 5k kwa 6k/7

Sijui kama nimesomeka
Yap sikuzote kwenye kubet haumii Kwa kile unachoweka kinauma kile unachoenda kukosa mfano mm niliweka elfu 23 kilichoniumiza ni kukosa Ile 6m sio Ile niliyoweka.
 
Back
Top Bottom