Half american
JF-Expert Member
- Sep 21, 2018
- 38,283
- 97,793
Ndivyo ilivyo mimi wiki iliyoisha yote nimechaniwa na timu moja moja.Daaa! ila kubeti aise hapana, unakuta sometimes unateam tisa zote zimetiki unamsikilzia mshez mmoja anakuja kukuchania some time unakuta ni dkk za nyongeza,,
Hujapiga hesabu vizuri. Ni odds 260.8 ambazo hata kwa timu 3 unazipata. Kimehesabu mtoa mada yupo sahihi.Uongo kupata 6m kwa 23k ni sawa na odds 2600 kwa timu nane uongo
Hapana ni odds 260 au kama zikiwa boosted ni odds only 200 tu unapata hiyo 6m kwa 23..
Lakini hata mechi 5 tu inaweza ikatoa odd zaid ya 1000 kwa mfano correct score unakuta timu moja inatoa odds 8 kwa mechi moja sasa tufanye ameweka zote correct score na odds kila mechi zikasoma 7,8,9,5,4,6,7,7 hii hapa itatoa odds 2,963,520..
So wingi waa odds inategemea na Option atakayoweka wengi wamezoea Direct na double chances
Yaani hii JF ukichukulia post za kila mtu serious utapotea. Huyu OP akubali tu aliongeza chumvi. Bro mtupie taulo ,ππππππNabeti sana tu nakula vichapo na namtafuna vile vile mhindi.
Onesha mkeka hapa huo mkeka wa 6M acha kupiga domoView attachment 2776939
Watu waongo sana humuYaani hii JF ukichukulia post za kila mtu serious utapotea. Huyu OP akubali tu aliongeza chumvi. Bro mtupie taulo ,ππππππ
Mwanzoni nilikuwa napuuza ila mkuu wapo watu wanapoteza pesa online. Waongo wapo ila wapo pia wanaopoteza pesa nyingi zisizofiirika kizembe kweli.Watu waongo sana humu