Aisee michezo ya kubahatisha (kubeti) kama huna afya nzuri unaweza ukafa huku unajiona

Aisee michezo ya kubahatisha (kubeti) kama huna afya nzuri unaweza ukafa huku unajiona

Hapana ni odds 260 au kama zikiwa boosted ni odds only 200 tu unapata hiyo 6m kwa 23..

Lakini hata mechi 5 tu inaweza ikatoa odd zaid ya 1000 kwa mfano correct score unakuta timu moja inatoa odds 8 kwa mechi moja sasa tufanye ameweka zote correct score na odds kila mechi zikasoma 7,8,9,5,4,6,7,7 hii hapa itatoa odds 2,963,520..
So wingi waa odds inategemea na Option atakayoweka wengi wamezoea Direct na double chances 😀😀
Mnajieleza sana , timu nane betpawa (ambao ndio kampuni inayotoa bonus kubwa ) wanatoa bonus ya 25% bado 23k to 6M havihusiani.
Nawewe tuoneshe mkeka ambao ulikula kwa hizo odds ulizo weka hapo juu
 
Oya ivi una ufahamu na masuala ya kubeti ngoja kwanza tuanze hapo.
Nabeti sana tu nakula vichapo na namtafuna vile vile mhindi.
Onesha mkeka hapa huo mkeka wa 6M acha kupiga domo
Screenshot_20231009-173228_betPawa.jpg
 
Mimi mgeni kwenye kubet wakuu naombeni kueleweshwa hapo ambapo una cashout before game haijaisha huku timu zote umeshinda bado moja naomba maelezo ya kutosha tafadhali
Kucash out inawezekana hata kama Bado timu mbili hazijacheza ila huziamini unaweza ku cash out but dau linapungua tofauti na unge subir still end but inadepend na campany ya bet husika Kuna baadhi hazina option ya cash out ukiweka umeweka

Pia timu inaweza kuwa uwanjan ukaona kabisa hapa kuchomoka ni ngumu una cash out mara nyng ni kuanzaia dkk ya 1-50-60 but saiv mfano betpawa wanaenda mpka dkk70s unaruhusiwa ku cash out

Pia jinsi unavochelewa ku cash out ndivo dau linoendelea kushuka mfano ilikuwa inatakiwa ushinde lak6 inaweza shuka mpka elfu tano usishangae
 
Hakuna kitu inaitwa "betting for fun", it's either you're in or out.

Halafu kinachoumiza watu sio stake aliyoweka, ni expected pay off, yaani hilo linaweza kuua mtu kwa pressure. Mtu kaweka 2k, expecting 20m, hiyo pesa inaweza kumuua.
 
Mnajieleza sana , timu nane betpawa (ambao ndio kampuni inayotoa bonus kubwa ) wanatoa bonus ya 25% bado 23k to 6M havihusiani.
Nawewe tuoneshe mkeka ambao ulikula kwa hizo odds ulizo weka hapo juu
Kuna sehemu Nimesema nimekula Mkekà huo....
Tatizo kako ni Jina lako hilo (Sitaki kuamini) na kweli hutaki sasa checki hapa chini...
Hizo ni mechi tatu za correct score na imetoka 7m...

Sometymes tuache ubishi
Screenshot_20231009-175531.png
 
Aise hii michezo ni hatari sana, sio kiuchumi tu zaid kiafya, hii kitu imenikuta jana.

Sasa Jana katika kujaribu zari nikawa nimebeti, nikazipa kama timu nane hivi nikatia stake yangu kiasi, mkeka ukawa unasoma 6m na some thing, nikaendelea na mambo yangu...
Aahaaaa,pole mkuu
 
Man City Jana kasepa na mpunga Tena nilimpa ashinde au a draw Ila kala chuma dakika ya 86.
Nilikosa usingiz Jana had saiz nawaza tu kanji alivyonitoka .
 
Man City Jana kasepa na mpunga Tena nilimpa ashinde au a draw Ila kala chuma dakika ya 86.
Nilikosa usingiz Jana had saiz nawaza tu kanji alivyonitoka .
😂😂😂aaha Mzee Hata hamu ya kula Huwa inakata
 
Back
Top Bottom