Hahaha mwizi tena anayejitetea kwa kisu acha afe na maisha yanasonga mkuu.....Hakuna damu ya mtu inayo mwagika bure. kwakua wewe ulimchoma visu mbavuni, ni wazi uli ua, damu ya uyo mwizi iko juu yako na kizazi chako. chunguza maisha unayoishi sasa na yatakayo kuja yote yatakua ni miserable. Nenda katubu na ubatizwe upya.
Kuna clip nimekutana nayo insta nikasahau kuipakua, ishu imetokea magomeni, jamaa amepanga frame ya biashara anapiga zake biashara mdogo mdogo kashakaa miezi mitatu
Siku jamaa kaingia dukani kwake usiku sijui walikua wangapi wapo na ma driller sijui jamaa katoboa ukuta katokea frame ya anayepakana nae kasafisha Kila kitu, kamaliza hapo katoboa tena kwingine Yani mpaka mwisho kawasafisha wote karudi kwenye frame yake kasepa, frame zilikua zimepangana maduka ya simu
Jamaa asubuhi wanalia tu na kutukana wanaulizana nani anamjua, wote wanasema walikua wanamuona tu dukani, imagine aisee una familia ndo biashara unayotegemea afu kenge mmoja siku anakumaliza Kila kitu
Nimewaza sana duka la simu ukiibiwa smart phone kama 100 aisee acha tu, ukute mtu uliweka na simu za Bei ghali.... Dah jamaa mmoja alikua analia kabisa
Wezi sio watu.... Na natoa hii kama tahadhari hakikisha mtu mliyepanga nae jirani unajua hata abc zake maana naona huu mfumo watu watapigwa sana
sio powa aisee watu hawana huruma mm mwizi na mchawi huwaga sinaga huruma nao aiseeDah unakuta mtu umechukua mkopo ndo unajitafuta na familia inakutegemea
hizo imani tu mwizi haitakiwi aione keshoHakuna damu ya mtu inayo mwagika bure. kwakua wewe ulimchoma visu mbavuni, ni wazi uli ua, damu ya uyo mwizi iko juu yako na kizazi chako. chunguza maisha unayoishi sasa na yatakayo kuja yote yatakua ni miserable. Nenda katubu na ubatizwe upya.
mwizi ukiingia kwenye 18 zake anakuua kisa mfukoni hajakukuta na kituUhai wa mtu haufananishwi na kitu chochote, mali zinaweza kurudi ila uhai hauwezi. waafrica ni wapumbavu wakubwa kwakua wamekuua wakiwauwa watu ambao waliwaibia simu tu... jiulize kwanini ujinga huu upo tu africa? Kwani dunia nzima hakuna wezi?