Aisee mkiona watu wanaua wezi msishangae

Aisee mkiona watu wanaua wezi msishangae

Hakuna damu ya mtu inayo mwagika bure. kwakua wewe ulimchoma visu mbavuni, ni wazi uli ua, damu ya uyo mwizi iko juu yako na kizazi chako. chunguza maisha unayoishi sasa na yatakayo kuja yote yatakua ni miserable. Nenda katubu na ubatizwe upya.
Hahaha mwizi tena anayejitetea kwa kisu acha afe na maisha yanasonga mkuu.....
 
Kuna clip nimekutana nayo insta nikasahau kuipakua, ishu imetokea magomeni, jamaa amepanga frame ya biashara anapiga zake biashara mdogo mdogo kashakaa miezi mitatu

Siku jamaa kaingia dukani kwake usiku sijui walikua wangapi wapo na ma driller sijui jamaa katoboa ukuta katokea frame ya anayepakana nae kasafisha Kila kitu, kamaliza hapo katoboa tena kwingine Yani mpaka mwisho kawasafisha wote karudi kwenye frame yake kasepa, frame zilikua zimepangana maduka ya simu

Jamaa asubuhi wanalia tu na kutukana wanaulizana nani anamjua, wote wanasema walikua wanamuona tu dukani, imagine aisee una familia ndo biashara unayotegemea afu kenge mmoja siku anakumaliza Kila kitu

Nimewaza sana duka la simu ukiibiwa smart phone kama 100 aisee acha tu, ukute mtu uliweka na simu za Bei ghali.... Dah jamaa mmoja alikua analia kabisa

Wezi sio watu.... Na natoa hii kama tahadhari hakikisha mtu mliyepanga nae jirani unajua hata abc zake maana naona huu mfumo watu watapigwa sana

Kujua info za mpangaji ni kazi za mmiliki wa hizo frames. Waanze na owner
 
Hakuna damu ya mtu inayo mwagika bure. kwakua wewe ulimchoma visu mbavuni, ni wazi uli ua, damu ya uyo mwizi iko juu yako na kizazi chako. chunguza maisha unayoishi sasa na yatakayo kuja yote yatakua ni miserable. Nenda katubu na ubatizwe upya.
hizo imani tu mwizi haitakiwi aione kesho
 
Uhai wa mtu haufananishwi na kitu chochote, mali zinaweza kurudi ila uhai hauwezi. waafrica ni wapumbavu wakubwa kwakua wamekuua wakiwauwa watu ambao waliwaibia simu tu... jiulize kwanini ujinga huu upo tu africa? Kwani dunia nzima hakuna wezi?
mwizi ukiingia kwenye 18 zake anakuua kisa mfukoni hajakukuta na kitu
 
Back
Top Bottom