KUTATABHETAKULE
JF-Expert Member
- Apr 2, 2012
- 5,159
- 5,070
Na mwanamke akishikwa anazini atapigwa mawe hadi afe. Hiyo ndo Sharia na Torati.Uislamu una sheria zake, na sio kuuwa.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Na mwanamke akishikwa anazini atapigwa mawe hadi afe. Hiyo ndo Sharia na Torati.Uislamu una sheria zake, na sio kuuwa.
😀 😀 😀 😀Nilishawahi kumkimbiza mwizi usiku kimya kimya mtu mbili tu nia yangu ilikua nimuue bila mashahidi alichonikera ni kupiga kelele za kuomba msaada hadi watu wakaamka nimemkamata tu watu wakajaa na mwenyekiti akiwepo
Ikabidi nimkabidhi kwa serekali ila nilimwambia mwizi umeniangusha sana kuna kitu nilitaka nikufanyie iwe siri yetu
Hakuna damu ya mtu inayo mwagika bure. kwakua wewe ulimchoma visu mbavuni, ni wazi uli ua, damu ya uyo mwizi iko juu yako na kizazi chako. chunguza maisha unayoishi sasa na yatakayo kuja yote yatakua ni miserable. Nenda katubu na ubatizwe upya.Siku moja natoka zangu bondeni naelekea home mida kama saa tano hivi familia ilikua imesafiri basi sikua na haraka za home...
wakati napita msikiti wa ferry naelekea njia ya mji mwema nikaskia kwa mbele mwiziiiiiiiii mwiziiiiiii kuna hostel ya wanafunzi pembeni mwa petrol station iliyoko pembeni mwa bahari asee jamaa hakuvuka barabara kashadakwa nikaanza kusoma mchezo dakika chache tu boda wa kijiwe lami wakaingia na pikipiki zao.
jamaa alipigwa wakaanza kumpanda na pikipiki japo hainihusu na sijaibiwa mimi ila nilitafuta nafasi jamaa kashavuliwa nguo kachakazwa nikatekenya mbavu mara mbili nikafuta kisu changu nikarudisha kiunoni.
Yule mwizi aliiba wakastukia akamkata dogo mmoja na kisu mkononi kwahyo sumu ikawajaa wanachuo.
Kesho yake naambiwa jamaa alipelekwa kwenye mbuyu kashakufa lolisi wakaja saa kumi usiku wakachukua maiti yao ila ilikua haifai maana mwili umekatika katika kwa tairi za pikipiki..
Sipendi kuhurumia mwizi maana anakuua anaondoka na mali yako
Ukikamata kibaka choma moto, ndo principle yangu toka utotoni hio.Kuna clip nimekutana nayo insta nikasahau kuipakua, ishu imetokea magomeni, jamaa amepanga frame ya biashara anapiga zake biashara mdogo mdogo kashakaa miezi mitatu
Siku jamaa kaingia dukani kwake usiku sijui walikua wangapi wapo na ma driller sijui jamaa katoboa ukuta katokea frame ya anayepakana nae kasafisha Kila kitu, kamaliza hapo katoboa tena kwingine Yani mpaka mwisho kawasafisha wote karudi kwenye frame yake kasepa, frame zilikua zimepangana maduka ya simu
Jamaa asubuhi wanalia tu na kutukana wanaulizana nani anamjua, wote wanasema walikua wanamuona tu dukani, imagine aisee una familia ndo biashara unayotegemea afu kenge mmoja siku anakumaliza Kila kitu
Nimewaza sana duka la simu ukiibiwa smart phone kama 100 aisee acha tu, ukute mtu uliweka na simu za Bei ghali.... Dah jamaa mmoja alikua analia kabisa
Wezi sio watu.... Na natoa hii kama tahadhari hakikisha mtu mliyepanga nae jirani unajua hata abc zake maana naona huu mfumo watu watapigwa sana
Kwanini umchome moto mwanadamu mwenzio? Kwanini usimpige tu na ukamuacha na maumivu yake?Ukikamata kibaka choma moto, ndo principle yangu toka utotoni hio.
Nlikuwa ilala boma mida ya saa tisa tupo kweny ka grocery ...nashangaa jamaa kapita speed anakimbizwa....kama dk 6 jamaa karud nae tunamuuliza VP huyu?jamaa analalamika ameibiwa sanaaa anataka ampeleke mwizi geto akapige na chupa ya value kubwa.....aysee jamaaa kaomba msamaha kwani jamaa alikuwa amedhamiria kwenda kuyatatua marinda kabisaNilishawahi kumkimbiza mwizi usiku kimya kimya mtu mbili tu nia yangu ilikua nimuue bila mashahidi alichonikera ni kupiga kelele za kuomba msaada hadi watu wakaamka nimemkamata tu watu wakajaa na mwenyekiti akiwepo
Ikabidi nimkabidhi kwa serekali ila nilimwambia mwizi umeniangusha sana kuna kitu nilitaka nikufanyie iwe siri yetu
Tuliza akili acha mihemko mzee, kwanza wewe ndo mjinga, hayo mabilioni unayoyaongelea ulishayaona? Hio hospitali ya huko fugazi village mm niliepo huku inanihusu nini? Ni mpuuzi pekee anaongelea mambo asioyaonaKwanini umchome moto mwanadamu mwenzio? Kwanini usimpige tu na ukamuacha na maumivu yake?
Namna mlivyowajinga, mtu anaewaibia kuku tu mna muua, ila kiongozi anaewaibia mabilion ya kujenga hospital zenu mnamsifia.
Usimuache mchawi akaishi bibilia imetamka hvyo ila haijasema mwiz wezi waishi nasi ila siyo mchawiWaizi na wachawi ni watu wa hovyo kabisa....Mwizi unakuta teja anaenda kuuza bei ya hasara...Hao ni kukata mikono shenzi kabisa.!
Inatafakarisha kiukweli. Anaaeza kuja mtu akaweka kibishara mshenzi tu hamna habari nae kumbe mwizi siku anawapiga.Kuna clip nimekutana nayo insta nikasahau kuipakua, ishu imetokea magomeni, jamaa amepanga frame ya biashara anapiga zake biashara mdogo mdogo kashakaa miezi mitatu
Siku jamaa kaingia dukani kwake usiku sijui walikua wangapi wapo na ma driller sijui jamaa katoboa ukuta katokea frame ya anayepakana nae kasafisha Kila kitu, kamaliza hapo katoboa tena kwingine Yani mpaka mwisho kawasafisha wote karudi kwenye frame yake kasepa, frame zilikua zimepangana maduka ya simu
Jamaa asubuhi wanalia tu na kutukana wanaulizana nani anamjua, wote wanasema walikua wanamuona tu dukani, imagine aisee una familia ndo biashara unayotegemea afu kenge mmoja siku anakumaliza Kila kitu
Nimewaza sana duka la simu ukiibiwa smart phone kama 100 aisee acha tu, ukute mtu uliweka na simu za Bei ghali.... Dah jamaa mmoja alikua analia kabisa
Wezi sio watu.... Na natoa hii kama tahadhari hakikisha mtu mliyepanga nae jirani unajua hata abc zake maana naona huu mfumo watu watapigwa sana
[emoji1787][emoji1787][emoji1787] Nkumua mtu au kuchoma kisu siwezi mmUkikamata kibaka choma moto, ndo principle yangu toka utotoni hio.
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Nilishawahi kumkimbiza mwizi usiku kimya kimya mtu mbili tu nia yangu ilikua nimuue bila mashahidi alichonikera ni kupiga kelele za kuomba msaada hadi watu wakaamka nimemkamata tu watu wakajaa na mwenyekiti akiwepo
Ikabidi nimkabidhi kwa serekali ila nilimwambia mwizi umeniangusha sana kuna kitu nilitaka nikufanyie iwe siri yetu
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Nilishawahi kumkimbiza mwizi usiku kimya kimya mtu mbili tu nia yangu ilikua nimuue bila mashahidi alichonikera ni kupiga kelele za kuomba msaada hadi watu wakaamka nimemkamata tu watu wakajaa na mwenyekiti akiwepo
Ikabidi nimkabidhi kwa serekali ila nilimwambia mwizi umeniangusha sana kuna kitu nilitaka nikufanyie iwe siri yetu
Ha ha ha haNilishawahi kumkimbiza mwizi usiku kimya kimya mtu mbili tu nia yangu ilikua nimuue bila mashahidi alichonikera ni kupiga kelele za kuomba msaada hadi watu wakaamka nimemkamata tu watu wakajaa na mwenyekiti akiwepo
Ikabidi nimkabidhi kwa serekali ila nilimwambia mwizi umeniangusha sana kuna kitu nilitaka nikufanyie iwe siri yetu
Huu ndio ukweli wenyewe!Mwizi hauliwi, ni dhambi