Aisee we mwanaume mwenzangu uliyekuwa na mpenzi wako hapa rainbow pub kwa nje mnakula chipsi kesho nakugongea demu wako.

Aisee we mwanaume mwenzangu uliyekuwa na mpenzi wako hapa rainbow pub kwa nje mnakula chipsi kesho nakugongea demu wako.

rainbow pub iko dodoma kwa msioijua.
kosa ulilofanya ni kudhani me nimelewa ukaniacha meza moja na demu wako ukaenda kuongea na simu muda mrefu,nimempa business card yangu na ameshanitafuta na nimemtongoza,kesho namgonga.
utanisamehe sana mwanaume mwenzangu.
Tanzania ya Viwanda

Sent using Jamii Forums mobile app
 
sawa mkuu..Ila mtoto anakulalamikia humpagi hata hela ya sabuni..
Hahaaa hiyo kesho utalazimika kwanza kulipia zile Kung fu nne alizokunywa jumlisha na chips mbili maana mimi ndiyo nilimshtua Msela kuwa Demu ana ukimwi uloiva na anasaka mta/watu wa kugawana nao! Nilimshauri asilipe chochote! And it's done
 
rainbow pub iko dodoma kwa msioijua.
kosa ulilofanya ni kudhani me nimelewa ukaniacha meza moja na demu wako ukaenda kuongea na simu muda mrefu,nimempa business card yangu na ameshanitafuta na nimemtongoza,kesho namgonga.
utanisamehe sana mwanaume mwenzangu.
Ulipaswa kuleta hii mada tayari ushamla.....
Dume zima hata kujiongeza unashindwa fala wew

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Dogo sijalala utauwawa bure ,utaleta na Uzi wa Jinsi the only alivyonitatua malinda na wahuni wenzie
 
Huyo demu anajiuza ni mbwa koko,jamaa alitoka kwenda kuongea na mke wake kipenzi
 
Mijitu ya Dom inatapelika kirahis sana yaani we ndo boya mkuu huyo demu na jamaa yake hizo ndo zao ili kuwapiga mafala kama wewe! Mji huo umewaishwa tu ila bado sana kuwa jiji.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Nakuona, saiv nimerudi tupo mezA moja nakuangalia tu,marinda yako yapo kwenye hatihati, itabidi kesho uvumilie tu!

Sent using Jamii Forums mobile app
 
rainbow pub iko dodoma kwa msioijua.
kosa ulilofanya ni kudhani me nimelewa ukaniacha meza moja na demu wako ukaenda kuongea na simu muda mrefu,nimempa business card yangu na ameshanitafuta na nimemtongoza,kesho namgonga.
utanisamehe sana mwanaume mwenzangu.
Majigambo tu hamna lolote
 
Back
Top Bottom