squirtinator
JF-Expert Member
- Sep 20, 2015
- 2,765
- 4,182
Kwa nini watanzania mnaamini kiwa jf kila mtu yupo?rainbow pub iko dodoma kwa msioijua.
kosa ulilofanya ni kudhani me nimelewa ukaniacha meza moja na demu wako ukaenda kuongea na simu muda mrefu,nimempa business card yangu na ameshanitafuta na nimemtongoza,kesho namgonga.
utanisamehe sana mwanaume mwenzangu.