Aiseee! Nimeamini wanawake wanapenda pesa. Cheki hii kitu kuthibitisha ...

[emoji13] [emoji13] usiseme hivyo watu wakiombwa buku tano tu wanakuja kulalama hapa...kwa wanaume wengine 15 ni kubwa mno
 

Siwezi itaja benki, ebu tulia upige hesabu angalau hiyo mara 18 kwa mwezi, ni mzinga mkubwa tu.
Wewe ukikutana nae mara moja kwa mwezi na hiyo laki 3 na mimi mara angalau 18 kwa mwezi hatuchezi mbali, ila niwe mkweli siku zingine 'ananikopesha' alafu nina mashaka kuwa lengo lake zaidi ni kukunwa maana siku za 'kukopa' hakumbushagi siku hizi.
 
[emoji28] [emoji28] [emoji28] [emoji28] [emoji28] kama kweli hayo tuliosimuluwa basi wadada tumefika mbali...mimi nahisi hii chai 15 tu hahaha siamini
Umeona eeeh, kama kweli huyo mdada kamdanganya siku hizi hata wafagiaji kazi kuwatambua.
 
ebu tulia upige hesabu angalau hiyo mara 18 kwa mwezi, ni mzinga mkubwa tu.
Wewe ukikutana nae mara moja kwa mwezi na hiyo laki 3 na mimi mara angalau 18 kwa mwezi hatuchezi mbali, ila niwe mkweli siku zingine 'ananikopesha'.
hebu mfatilie atakuwa anacheza vikoba...hivyo anarudisha marejesho..unamkopa huwa unakuwa umecharara?hivyo humlipa deni lake siku nyingine au?
 
laki tatu kwasiku hata Liyumba hawezi,na huyo nasikia ndo mfalme wa wahongaji
 
Huyo atakuwa mfagiaji, 15 hela ya chips dume watoto wa primary.

[emoji28] [emoji28] [emoji28] [emoji28] [emoji28] kama kweli hayo tuliosimuluwa basi wadada tumefika mbali...mimi nahisi hii chai 15 tu hahaha siamini
Majibu haya yanaonyesha kuwa hata nyie ni wauza K, sema tu bei yenu ni tofauti. Nothing personal though, just my view!
 
Acha uoga wewe,taja dau lolote unaloona litakutosha,usiogope mama,au kama unaona noma nitimbie kny pm mambo yatakuwa shwari mshazari
sio uoga we si mwanaume taja dau lako la mwisho...hakuna cha pm yani tutamalizana hapahapa mbele za mashahidi ili ukinikopa nije kushtaki hapa,teh
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…