Aiseee! Nimeamini wanawake wanapenda pesa. Cheki hii kitu kuthibitisha ...

Aiseee! Nimeamini wanawake wanapenda pesa. Cheki hii kitu kuthibitisha ...

Siwezi itaja benki, ebu tulia upige hesabu angalau hiyo mara 18 kwa mwezi, ni mzinga mkubwa tu.
Wewe ukikutana nae mara moja kwa mwezi na hiyo laki 3 na mimi mara angalau 18 kwa mwezi hatuchezi mbali, ila niwe mkweli siku zingine 'ananikopesha' alafu nina mashaka kuwa lengo lake zaidi ni kukunwa maana siku za 'kukopa' hakumbushagi siku hizi.
Nilichomaanisha Mimi, Kma Mwanamke Umempenda! Sidhani Kma Cost Ni Za Kuziangalia Sanaa . Ila Kma Ni Wa Stareh Haya!!!
 
Siwezi itaja benki, ebu tulia upige hesabu angalau hiyo mara 18 kwa mwezi, ni mzinga mkubwa tu.
Wewe ukikutana nae mara moja kwa mwezi na hiyo laki 3 na mimi mara angalau 18 kwa mwezi hatuchezi mbali, ila niwe mkweli siku zingine 'ananikopesha' alafu nina mashaka kuwa lengo lake zaidi ni kukunwa maana siku za 'kukopa' hakumbushagi siku hizi.
hiyo setup inaitwa friend with benefit....wengi tumeipitia
 
hebu mfatilie atakuwa anacheza vikoba...hivyo anarudisha marejesho..unamkopa huwa unakuwa umecharara?hivyo humlipa deni lake siku nyingine au?
Sikutani nae siku saba za wiki, ila angalau mara nne au tano. Mida fulani anaweza niita nikawa siko sawa kivile. Hivyo namzuga nitampa. Mwezi wa kwanza toka tuanze nilikuwa nampa kila tukikutana, ila baadae nikawa siku zingine nampa siku zingine namwambia nitampa, kizuri huwa hanikumbushi na bado ananiita. Hivyo kujishtukia huwa mara chache nikijiweza nampa nyongeza.
 
Majibu haya yanaonyesha kuwa hata nyie ni wauza K, sema tu bei yenu ni tofauti. Nothing personal though, just my view!
vipi kuna kilichokukera kaka? k ya jirani unaitolea view teh...haya asante kwa view za k za watu mbeba maono
 
hebu mfatilie atakuwa anacheza vikoba...hivyo anarudisha marejesho..unamkopa huwa unakuwa umecharara?hivyo humlipa deni lake siku nyingine au?
Labda yuko huko vikoba, sijui. Sikutani nae siku saba za wiki, ila angalau mara nne au tano. Mida fulani anaweza niita nikawa siko sawa kivile. Hivyo namzuga nitampa. Mwezi wa kwanza toka tuanze nilikuwa nampa kila tukikutana, ila baadae nikawa siku zingine nampa siku zingine namwambia nitampa, kizuri huwa hanikumbushi na bado ananiita. Hivyo kujishtukia huwa mara chache nikijiweza nampa nyongeza.
 
sio uoga we si mwanaume taja dau lako la mwisho...hakuna cha pm yani tutamalizana hapahapa mbele za mashahidi ili ukinikopa nije kushtaki hapa,teh

hviiii,kati yangu na wewe nani aliyeanza kumtaka mwenzie ataje dau lake,we nipe price tag yako nimalize shughuli hapa hapa na niipige screen shot transaction nitakayoifanya kama attachment ya malipo niliyofanya kwa huduma tarajiwa
 
Inategemea Na Mwanamke Mwenywe!! Kuna Wengne Si Utawapa Pesa Kma Unatoa Sadaka Tuu!!! Maana Hawalipi Kotekote! Si Kwenye Utamu Wala Kwenye Nini...Kote Hovyo!!!!
na mimi dau langu linategemea vingi kuanzia muonekano,mboo,uchovu wa kitandani kunihemea kitandani ka nguruwe mambo mengi mno..
 
hviiii,kati yangu na wewe nani aliyeanza kumtaka mwenzie ataje dau lake,we nipe price tag yako nimalize shughuli hapa hapa na niipige screen shot transaction nitakayoifanya kama attachment ya malipo niliyofanya kwa huduma tarajiwa
aah naona hutaki tufanye kazi...basi wapishe wengine...kama unataka taja bei tusipoteze mda...
 
Umeona eeeh, kama kweli huyo mdada kamdanganya siku hizi hata wafagiaji kazi kuwatambua.
Nimewahi fika benki anapofanya kazi kujifanya naulizia taratibu za kufungua akaumt, tena wala yeye sikumpa taarifa kuwa ningeenda ila alikuwa dirishani counter na uniform kama za wenzake akihudumia wateja dirishani, hivyo sidhani kama ni mfagizo au labda alisuka dili la kudanganya na hao wenzake.
 
Nimewahi fika benki anapofanya kazi kujifanya naulizia taratibu za kufungua akaumt, tena wala yeye sikumpa taarifa kuwa ningeenda ila alikuwa dirishani counter na uniform kama za wenzake akihudumia wateja dirishani, hivyo sidhani kama ni mfagizo au labda alisuka dili la kudanganya na hao wenzake.
Kazi Ya Mtu Aina Uhusiano Sanaa Na Tabia Ya MTU.
 
Back
Top Bottom