Aisha alipigwa, kuvuliwa nguo zote na Kurekodiwa, Na kwamba akisema kwamba alitekwa Picha zake zitavujishwa Mitandaoni na kumuua

hatua zingechukuliwaje wakati badala ya kuripoti kafumaniwa kapigwa yeye kasema katekwa maelezo tu yanajidhihirisha nalikuwa anasema uongo mtupu sasa polisi wanachunguza ngoja muone mnavyoumbuka
Machawa.
 
Alivuliwa au alivua mwenyewe? Kibiti kilimpeleka nini? Mwanamke wa kiislamu wa kizanzibari? Mmmmm

Isije kuwa hakukulipwa akaamua kuwawashia moto hao waliokataa kumlipa baada ya kumaliza mambo yao
Acha utoto siasa za vyama zisikutoe akili, unaweza kuongea ayo maneno?
 
Haya mambo mbona yana ongezeka kila siku au ndio aina mpya ya siasa, kusema ukweli haifai tuendelee hivi.
 
whats way forward.
 
Uongozi wa Chadema unasema nini kuhusu hili tukio?

Amandla...
 
Sijui kama umenielewa au ujanielewa kwasababu nsona unapandisha tu jazba kama vile nimekutajas wewe kuwa ndiyye informa haya matukio. Mimi nimejaribu kuchekii senario ya matukio mawili tu.. Ndiyo nimmeyatilia wasiwasi
 
Duh

Kumrekodi mama wa Kiislam akiwa mtupu ni Dhambi mbaya Mno mbele ya maulana 🐼
Wa dini zingine sio dhambi au? Mnajikutaga nani labda? Special sana eeh. 🚮 Kemea maovu bila kujali itikadi ya aina yoyote. Wote binadamu. Muislam sio special.
 
Sijui kama umenielewa au ujanielewa kwasababu nsona unapandisha tu jazba kama vile nimekutajas wewe kuwa ndiyye informa haya matukio. Mimi nimejaribu kuchekii senario ya matukio mawili tu.. Ndiyo nimmeyatilia wasiwasi
Ni ama hujui kitu au unajaribu kudanganya wajinga. Wewe ndo unajaribu kupotosha watu humu
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…