Aisha alipigwa, kuvuliwa nguo zote na Kurekodiwa, Na kwamba akisema kwamba alitekwa Picha zake zitavujishwa Mitandaoni na kumuua

Aisha alipigwa, kuvuliwa nguo zote na Kurekodiwa, Na kwamba akisema kwamba alitekwa Picha zake zitavujishwa Mitandaoni na kumuua

Pole sana kwa huyo mama. Ila hii haihitaji uprofesa kujua kuwa wahusika wa hili tukio wako ndani ya CHADEMA. Polisi ifanye kazi yake ijulikane wahusika.
 

View: https://m.youtube.com/watch?v=UWMD2TZIRiA
Kiongozi wa BAWACHA - Gari jeupe Land Cruiser watu sita namba plate inaanzia na PT ...., mtambuzi mwanamke alinifuatilia toka stendi ya basi tukapanda wote nilidhani ni abiria wa kawaida ...

Ccm wanako tupereka ni kubaya ipo siku tutaishiwa uvumilivu na hizo sare zao za kijani itakuwa alama ya ujambazi na wizi watu wema watachukuwa hatuwa..
 
Eti alikwenda Kibiti kutafuta wagombea???Yaani bado mwezi mmoja Uchaguzi unaenda kutafuta wagombea.Anyooshe maneno kuna jambo halisemi.
 
Wanatekana wenyewe hao kuleta fitna, pattern inaonesha wanaotekwa chadema ni Waislam tu. Kwanza Mohamed, sasa Aisha.

Kuna fitna kubwa inapikwa hapa.
Wagojwa wa akili sio wote wanao okota makopo. Sasa kama wanatekana wenyewe hapo sio ndio serikali ya ccm ingenyesha umahili wake kwa kurusu uchuguzi huru wa kimataifa ili hao wanao tekana wajulikane ni kina nani ? Au hao wanao tekana ndio wanao miliki polisi na mahakama?
 
Aache kiherehere. Alipewa kanga kama zawadi akakipokea, Kisha anaenda kuichoma hadharani. Kama alikuwa haitaki angeichomea ndani mwake au akapigia deki. Sasa kiherehere Cha kujionesha Wacha akomeshwe. Tena amekomeshwa kidogo! KUMBAVU!!
Maisha bwana ni zamu zamu itafika zamu yako. Na yawezekana kwako ikaja kwa sura nyingine ila yatakuwa majibu ya furaha uliyo nayo kwenye maumivu ya wasio hatia,
 
Wagojwa wa akili sio wote wanao okota makopo. Sasa kama wanatekana wenyewe hapo sio ndio serikali ya ccm ingenyesha umahili wake kwa kurusu uchuguzi huru wa kimataifa ili hao wanao tekana wajulikane ni kina nani ? Au hao wanao tekana ndio wanao miliki polisi na mahakama?
= umahiri.

Hivi hizo shule mlienda kusomea ujinga?
 
Kabisa kuna kitu anaficha
Eti aliweza kusoma namba PT kwenye Land Cruiser Nyeupe lakini hakumbuki namba huku akisema ilikuwa mchana kweupe.Anadai alipoteremka kwenye basi bodaboda wake alikuwa akimsubiriJe alimleta bodaboda kama shahidi?
Kuna kitu hataki kusema.
 
Maisha bwana ni zamu zamu itafika zamu yako. Na yawezekana kwako ikaja kwa sura nyingine ila yatakuwa majibu ya furaha uliyo nayo kwenye maumivu ya wasio hatia,
Zamu yangu ikifika ntakuwa mnyenyekevu balaa! Naacha mitandao. Mimi nyumbani na kanisani tu. Nipo kama sipo.
 
Back
Top Bottom