Aisha alipigwa, kuvuliwa nguo zote na Kurekodiwa, Na kwamba akisema kwamba alitekwa Picha zake zitavujishwa Mitandaoni na kumuua

Huyu mama kama anatudanganya haya ni Maigizo, yaani mtu upewe kipigo cha Nguvu leo uitishe press, uongee kwa namna ile, Chadema acheni drama hili igizo lenu mmfail..
Huna akili
 
Akina mbowe wavunje hilo group lao la siasa maana wanawaponza wazazi wa watu.Bongo tuna weza siasa za kupongeza viongozi wetu, na sio siasa zaa vyama vingi.Yaani nkam wanawake wakikristo wasivyo weza ndoa za mitaara.
 
Haya mambo hayana, mwisho mzuri kwetu kama Taifa.
 
Mpaka na wao waanze kutekwa na kuuliwa ndi nchi hii tutakaa sawa. Bila hivyo, tutalia sana.
 
Baada ya kusoma maoni unagundua mwafrika sio masikini bahati mbaya, sio mjinga bahati mbaya, hafananishwi na mnyama kwa bahati mbaya.
 
Kibiti kilimpeleka nini ? Kule kulikuwa na ma Alshabab kibao ya kizanzibari

Asije kuwa alienda kuolewa na kamanda wa alshabab wakashindwana huko
Punguza ushabiki wa kijinga kijana, kuchoma ma vitenge ya mwanamke katili na muuaji si dhambi.
 
Ukisikiliza vizuri hiyo clip.kuna uongo mwingi mfano anasema akapitishwa eneo lina msitu mnene alilionaje wakati alikuwa kafungwa kitambaa usoni?
 
Reactions: Tui
Wanatekana wenyewe hao kuleta fitna, pattern inaonesha wanaotekwa chadema ni Waislam tu. Kwanza Mohamed, sasa Aisha.

Kuna fitna kubwa inapikwa hapa.
Kwahiyo aliyetekwa katibu WA bavicha temeke naye ni muislam! Inaonekana bado wewe ni kahaba
 
Polisi mtakufa na kuhama huku mtaani shauri yenu, kiama chenu kitawafikia.
Hicho kituo anachosema cha Jaribu ni pako kipori pana msikiti wa waislamu wa siasa kali halafu sehemu hiyo polisi waliwahi uawa na magaidi wakiwa hapo kituoni kikaxi

Sijui kilimpeleka nini pale mwanamke huyo wa kiislamu Huenda alikuwa kwenye huo msikiti akikutana na watu kupanga ugaidi
 
Zimebaki hatua chache watu wavunje rekodi za JIWE .


Allah amtie nguvu muhanga mama huyu aliyeonewa akiwa hana hata silaha.
Yaani nakumbuka Samia alisema hana tofauti na mwendazake ila huyu naona kiboko zaidi.
 
Hawa si ndio walikuwa wanaimba "hakuna muuaji km Samia" walimpa na tuzo wakachapisha na khanga.. sasa jini limetoka kwenye chupa ninawalamba mmoja mmoja.
Kwa hiyo unathibitisha kuwa watekaji wametumwa na Samia kulipiza kisasi? Asante kwa taarifa.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…