TANZIA Aisha Madinda afariki dunia

Judgement

JF-Expert Member
Joined
Nov 13, 2011
Posts
10,326
Reaction score
4,785

Kwa taarifa niliyoipata muda huu toka Clouds Fm. Amefikishwa Mwananyamala Hosp, akiwa tayari keshapinda.
 
R.I.P Aisha
Hivi ndo yule mnenguaji au?maana Aisha madinda na asha baraka majina yao huwa yananichanganya
 
Imeandikwa kila nafsi itaonja mauti. na kwa hakika umauti ni mawaidha tosha kwa wenye kuamini.maisha ya duniani ni mafupi sana ila wanadamu tunajisahau sana na maisha haya ya mpito. anza leo kumuabudu Muumba wako usisubiri kesho huenda sasa hivi ndio ikawa pumzi yako ya mwisho.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…